Betterhalf
JF-Expert Member
- Dec 20, 2016
- 2,882
- 2,565
Hao ni shemeji zako,toka huku unaanza kuwatania kwamba "kicheko chenu nimekisikia nikatamani nije niwaite mnisaidie kushusha zigo....endelea hivi,...hizi mbege zenu hazifai kabisa maana zimeniharibia tumbo langu na mna deni la kulipa..." Then anzisha stori mpya kwa kadri ya ulivyowazoea na mkeo atakusupport.