Nimetia aibu kubwa ukweni

Nimetia aibu kubwa ukweni

Leo nimesafiri na wife kwenda kwao Moshi.nikiwa njiani tumbo la kuhara limenibana sana.wife kanishauli nijikaze mpaka kwao.nilipofika hapa kwao.choo kipo uwani na nje ya choo kuna kibaraza wamekaa wadogo zake wa kike.kwa jinsi nilivyoharisha sauti ilikuwa mubashara nje na nimewasikia wanacheka
Mpaka naandika msg hii nipo bado inside.sasa sijui sura yangu nikitoka
Hahahahhahahahhaa yan uliacha mapori yote na baa zote mpaka ukaenda kukata gogo ukweni.......ukweni unatakiwa kujikaza wajue kuwa hata huwa hauendi choo
 
Mkuu siku ingine uwe unapigapiga maji kwenye ndoo kudairut sauti ya kijambo maana ile praaatatataa hua inatoka kimbea mi hua nachezesha maji
Aisee we mtaalam
 
Hahahahhahahahhaa yan uliacha mapori yote na baa zote mpaka ukaenda kukata gogo ukweni.......ukweni unatakiwa kujikaza wajue kuwa hata huwa hauendi choo
Ili uwaaminishe we ni jini sio?...mkuu kama hiyo milio isingetoka ungepiga hata ile ya mdomo mbruuuu.Halafu unatoka mkavu kabisa hakuna kubatasamu.
 
Sikunyingine ukienda ukweni uweunachagua vyakula.
Sio kula wali na mamichuzi njiani.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom