enjai ya kyasha
JF-Expert Member
- Apr 6, 2017
- 3,110
- 3,673
Mkuu hiyo no ishara kwamba huko uliko na Dada yao hamlali njaa be confident toka humo huku ukiachia tabasam mubashara wataona aibu wenyewe
Umevunja rekodi mkuu, nimecheka hatari. Dawa tosha kabisaWe jiachie mkuu, ukitoka hapo unaachia tabasamu pana.. Hahahahaahaha..
..Kamua Kamua BabaLeo nimesafiri na wife kwenda kwao Moshi.nikiwa njiani tumbo la kuhara limenibana sana.wife kanishauli nijikaze mpaka kwao.nilipofika hapa kwao.choo kipo uwani na nje ya choo kuna kibaraza wamekaa wadogo zake wa kike.kwa jinsi nilivyoharisha sauti ilikuwa mubashara nje na nimewasikia wanacheka
Mpaka naandika msg hii nipo bado inside.sasa sijui sura yangu nikitoka
..jamaa anatamani Ardhi ifunguke ajifukie kwa Mdahahahaaaaaa mkuu bomoa ukuta utokee kwa nyuma uchape rapa..
au jifanye umezimia chooni ili kuua soo lote
Unaandika thread chooni?simu ikidumbukia je?Leo nimesafiri na wife kwenda kwao Moshi.nikiwa njiani tumbo la kuhara limenibana sana.wife kanishauli nijikaze mpaka kwao.nilipofika hapa kwao.choo kipo uwani na nje ya choo kuna kibaraza wamekaa wadogo zake wa kike.kwa jinsi nilivyoharisha sauti ilikuwa mubashara nje na nimewasikia wanacheka
Mpaka naandika msg hii nipo bado inside.sasa sijui sura yangu nikitoka
mimi nimewahi kuaguka mbele ya darasa chuoni....yani nilikua nimechelewa watu wote wanapiga pindi ndio nikajikwaa kwenye wire ya projector nikaanguka mzima mzima.....ilibidi nijifanye nimezimia wakanitoa class wamenibeba...jamaa anatamani Ardhi ifunguke ajifukie kwa Mda
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Unakunyaje ukweni.. Huko ni kukosa adabu
[emoji23] [emoji23] [emoji23]HAHAHAHAAA. Hao mashemeji huwa haugui matumbo au umbea tu unawasumbua?
Tatizo choo huwa hakina mlango wa siri wa kutorokea ukipata ajali kama hizo.
Wangeshangaa mabomu yamekata, shemu yuko sebuleni anakunywa mbege mdogomdogo
...jiachie , jiachie,..ndani ya pamba nyepesWe jiachie mkuu, ukitoka hapo unaachia tabasamu pana.. Hahahahaahaha..
Chezea kuhArisha weweee[emoji23]Duh. Noma sana. Hata hujasalimia wake ukapitiliza hadi chooni.
..JF raha sana..Ickute dada yao aliwaambia karni mkao... Nawaleteen muvi! [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Mkuu siku ingine uwe unapigapiga maji kwenye ndoo kudairut sauti ya kijambo maana ile praaatatataa hua inatoka kimbea mi hua nachezesha maji
Kanatudanganya hakaa mkuu[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] jf ina machizi kweli kwaiyo upo na simu chooni
Ata mm nimeonaKanatudanganya hakaa mkuu
Kumbe una cm chooni simple tuLeo nimesafiri na wife kwenda kwao Moshi.nikiwa njiani tumbo la kuhara limenibana sana.wife kanishauli nijikaze mpaka kwao.nilipofika hapa kwao.choo kipo uwani na nje ya choo kuna kibaraza wamekaa wadogo zake wa kike.kwa jinsi nilivyoharisha sauti ilikuwa mubashara nje na nimewasikia wanacheka
Mpaka naandika msg hii nipo bado inside.sasa sijui sura yangu nikitoka