Nimetia aibu kubwa ukweni

Nimetia aibu kubwa ukweni

Mkuu siku ingine uwe unapigapiga maji kwenye ndoo kudairut sauti ya kijambo maana ile praaatatataa hua inatoka kimbea mi hua nachezesha maji
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Mkuu kabla huja toka kohoa kikohozi kikubwa kitacho akisi ukubwa wa uharo ulio utoa ili kuwa pumbaza wadhani hata mwanzo ulikuwa ukikataa. Nime kuibia hii siri kitaalamu inaitwa in laws deficating technics.
 
HAHAHAHAAA. Hao mashemeji huwa haugui matumbo au umbea tu unawasumbua?
Tatizo choo huwa hakina mlango wa siri wa kutorokea ukipata ajali kama hizo.
Wangeshangaa mabomu yamekata, shemu yuko sebuleni anakunywa mbege mdogomdogo
humu rah san jf
 
Mkuu siku ingine uwe unapigapiga maji kwenye ndoo kudairut sauti ya kijambo maana ile praaatatataa hua inatoka kimbea mi hua nachezesha maji

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kunya nayo ingekua ni kazi bc mwenzetu una experienc ya miaka mingii kwa kwl
 
Hahahaha Nimecheka sn aise. Sema ili kuwafundisha adabu hao mashemela wako, toka usijibizane na mtu nyoosha moja kwa moja home. Ili wajue umechukia na walichokifanya sio heshima na wazazi wao wajue watoto wao hawana adabu.

kwhyo awambie wazaz kwamba alikua ana hara wanae wakamcheka au
 
Nakumbuka hata mm,nilishikwa na tumbo la kuhara sabubu ya kula DAGAA wakati navidonda vya tumbo.isikie kwa MTU mkuu ndiyo nilijua kwann dagaa siyo SAMAKI .bahati ilikuwa usiku wakwe wamelala na choo ni cha nje walikuwa wanasikia nafungua mageti kwenda toi Mara kwa Mara.asubuhi mashemu na wakwe wakanipa pole.
 
Hujatia aibu yoyote, unaumwa na ugonjwa hauchagui, waliotia aibu ni hao waliocheka, utamchekaje mgonjwa, hawana heshima.
 
kwhyo awambie wazaz kwamba alikua ana hara wanae wakamcheka au
Akishaondoka atakaemfuata kwa vyovyote vile atakua mkewe, atamuhadithia kila kitu, huyo mke ndiyo ataenda kuamsha dude kwao. Kama wanabusara lkn.
 
Mwambie wife awafundishe adabu, ila tumbo la kuhara halina cha Baba mkwe
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom