Nimetia aibu kubwa ukweni

Nimetia aibu kubwa ukweni

Twahahahaaaaa kaza sura afu mwagize maji mmoja wao watatulia tu
 
Ungejikaza mpaka gari la promotion lipite likipiga muziki mkubwa ndiyo ukimbie chooni ufanye yako wasingesikia
 
Halafu vyoo vya uchagani vilivyo hoviyoo, ingekua kwetu Tanga ukitoka tu shemeji zako wangekupa pole na kukuuliza kama umeumia?
 
Hivi Mwanaume unapata wapi ujasiri wa kunya Ukweni?

Mwanaume wa Dar kwakweli.
Jamani hivi kwa mfano unakaa ukweni week nzima utakua haunyi?na hiyo sheria ya kutokunya ukweni imetoka wapi looh si utarudi kwako umevimba tumbo sasa kama una utapiamlo
 
Jamani hivi kwa mfano unakaa ukweni week nzima utakua haunyi?na hiyo sheria ya kutokunya ukweni imetoka wapi looh si utarudi kwako umevimba tumbo sasa kama una utapiamlo
Hata kama unakunya ila sio kiboya boya

Kwanza Mwanaume aliyepitia jando hatakiwi uende chooni kijinga eti mbele ya mashemeji zako.

Mfano kule kwetu watoto wadogo hawajui kama wanaume wanakunya.
 
Mkuu siku ingine uwe unapigapiga maji kwenye ndoo kudairut sauti ya kijambo maana ile praaatatataa hua inatoka kimbea mi hua nachezesha maji
Hahahahaaa...we jamaa acha basi ujinga, kwanini lakini??? nimecheka mpaka basi dah
 
weweee umekubali kwenda kuingia choo cha wakwee!!!
 
Ungekunya kistaarabu kana kwamba mashine umeicha silencer sasa wewe unaukenua mpaka mwisho tena usikute mimavi ya kuharisha imetapakaa kwenye viatu dah nimecheka sana.
 
😛 Hapo ndo unajikuta unasali sauti isitoke kubwa!!! Au unatoa kwa awamu ili kuzuia sauti. Kama kuna ndoo unaiburuza ili ipige kelele alafu wewe unajiachia
 
Leo nimesafiri na wife kwenda kwao Moshi.nikiwa njiani tumbo la kuhara limenibana sana.wife kanishauli nijikaze mpaka kwao.nilipofika hapa kwao.choo kipo uwani na nje ya choo kuna kibaraza wamekaa wadogo zake wa kike.kwa jinsi nilivyoharisha sauti ilikuwa mubashara nje na nimewasikia wanacheka
Mpaka naandika msg hii nipo bado inside.sasa sijui sura yangu nikitoka


Mkuu poa sana, kaa huko huko na wala usitoke mpaka hao watoto waende kulala.
 
Leo nimesafiri na wife kwenda kwao Moshi.nikiwa njiani tumbo la kuhara limenibana sana.wife kanishauli nijikaze mpaka kwao.nilipofika hapa kwao.choo kipo uwani na nje ya choo kuna kibaraza wamekaa wadogo zake wa kike.kwa jinsi nilivyoharisha sauti ilikuwa mubashara nje na nimewasikia wanacheka
Mpaka naandika msg hii nipo bado inside.sasa sijui sura yangu nikitoka

Waulize kama walisikia sauti yoyote ikitokea humo ulimokuwamo kisha waulize kama waliipenda wakisema waliipenda rudi tena toilet uendelee kuwaburudisha shemeji zako safari hii ongeza vionjo zaidi.

ukitoka kwa mara ya pili Waambie ulikuwa uharishi ulikuwa unafanya tu mazoezi ya kuharisha ili uharishe baadae
 
nyumba ina dari ? kwichi kwichi ikianza kesho itakuwa zamu kuwatazamaje wakwe zako
 
Hata kama unakunya ila sio kiboya boya

Kwanza Mwanaume aliyepitia jando hatakiwi uende chooni kijinga eti mbele ya mashemeji zako.

Mfano kule kwetu watoto wadogo hawajui kama wanaume wanakunya.

Hao mashemeji hawanyi babu? ukijinyea siku hiyo kwa kuwaogopa mashemeji nadhani siku nyingine utakuwa unajiongeza
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom