MulRZGM
JF-Expert Member
- Jan 26, 2017
- 1,015
- 748
Yeh... Apo ndo ataua kbsaaa[emoji23]hahahaaaaaa mkuu bomoa ukuta utokee kwa nyuma uchape rapa..
au jifanye umezimia chooni ili kuua soo lote
Yeh... Apo ndo ataua kbsaaa[emoji23]hahahaaaaaa mkuu bomoa ukuta utokee kwa nyuma uchape rapa..
au jifanye umezimia chooni ili kuua soo lote
[emoji23] [emoji23]Mkuu siku ingine uwe unapigapiga maji kwenye ndoo kudairut sauti ya kijambo maana ile praaatatataa hua inatoka kimbea mi hua nachezesha maji
Hahah[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] jf ina machizi kweli kwaiyo upo na simu chooni
Aiseee heshima yako nenomi zamani ilikuwa inanipa tabu sana watu wanaokaaga karibu na choo lakini siku hizi sijui nimekuwaje hta kama naenda kukojoa na simama kwa ujasiri tena bila kupepesa macho wala kumumunya maneno nawaambia aiseee "Tokeni hapo bhana mi nataka nikanye"
Ukitoka zuga unaongea na simu...ukiwapita kajifiche ndani au chapa raba!!Leo nimesafiri na wife kwenda kwao Moshi.nikiwa njiani tumbo la kuhara limenibana sana.wife kanishauli nijikaze mpaka kwao.nilipofika hapa kwao.choo kipo uwani na nje ya choo kuna kibaraza wamekaa wadogo zake wa kike.kwa jinsi nilivyoharisha sauti ilikuwa mubashara nje na nimewasikia wanacheka
Mpaka naandika msg hii nipo bado inside.sasa sijui sura yangu nikitoka
kwani hicho choo hakina sound proof?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Mkuu siku ingine uwe unapigapiga maji kwenye ndoo kudairut sauti ya kijambo maana ile praaatatataa hua inatoka kimbea mi hua nachezesha maji
We umeacha kwenda na laptop toilet[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] jf ina machizi kweli kwaiyo upo na simu chooni
LA kwanza sawa ila hili LA pili nimecheka sana. Amwitie nini sasa kwamba amezidiwa au roho inataka kuacha mwili?.Endelea kuhara zidisha Na kukema mmh mmh mmh,lazima waondoke au mwite wife kwa sauti