Nimetia aibu kubwa ukweni

Nimetia aibu kubwa ukweni

Kuna watu hawana adabu. Shemeji anaelekea chooni na nyie mnaendelea kukaa karibu au maeneo ya karibu na choo. Si mumpishe akimaliza ndio mrudi maeneno hayo.
Labda kama ni uswahilini nitaelewa, ila kama mnaeneo kubwa huo sio uungwana.
 
Sasa mkuu kama ulikua na simu ulishindwa kuweka mziki, alafu uongezeke sauti hadi mwisho? Hiyo umejitakia mwenyewe usiwalaumu
 
Ilikuwa kwa mfumo wa filimbi, risasi au mabomu maana hatari sana
 
Leo nimesafiri na wife kwenda kwao Moshi.nikiwa njiani tumbo la kuhara limenibana sana.wife kanishauli nijikaze mpaka kwao.nilipofika hapa kwao.choo kipo uwani na nje ya choo kuna kibaraza wamekaa wadogo zake wa kike.kwa jinsi nilivyoharisha sauti ilikuwa mubashara nje na nimewasikia wanacheka
Mpaka naandika msg hii nipo bado inside.sasa sijui sura yangu nikitoka
Jf kiboko dahhhhh ......ukitoka na wewe cheka uwanyoooshe
 
Siku nyingine ukisafiri uache kufakamia mavyakula ya barabarani. We toka huko chooni jibaraguze kama hujui kilichojiri.

Leo nimesafiri na wife kwenda kwao Moshi.nikiwa njiani tumbo la kuhara limenibana sana.wife kanishauli nijikaze mpaka kwao.nilipofika hapa kwao.choo kipo uwani na nje ya choo kuna kibaraza wamekaa wadogo zake wa kike.kwa jinsi nilivyoharisha sauti ilikuwa mubashara nje na nimewasikia wanacheka
Mpaka naandika msg hii nipo bado inside.sasa sijui sura yangu nikitoka
 
Leo nimesafiri na wife kwenda kwao Moshi.nikiwa njiani tumbo la kuhara limenibana sana.wife kanishauli nijikaze mpaka kwao.nilipofika hapa kwao.choo kipo uwani na nje ya choo kuna kibaraza wamekaa wadogo zake wa kike.kwa jinsi nilivyoharisha sauti ilikuwa mubashara nje na nimewasikia wanacheka
Mpaka naandika msg hii nipo bado inside.sasa sijui sura yangu nikitoka
Hahahahaaaaaaa yan nimecheka hadi mbavu zinaniuma
Mkuu siku ingine uwe unapigapiga maji kwenye ndoo kudairut sauti ya kijambo maana ile praaatatataa hua inatoka kimbea mi hua nachezesha maji
 
Shirikisha akili, kama ulikuwa na simu ungefungulia muziki kwa sauti ili wasikie muziki then unaharisha kwa raha zako
 
Leo nimesafiri na wife kwenda kwao Moshi.nikiwa njiani tumbo la kuhara limenibana sana.wife kanishauli nijikaze mpaka kwao.nilipofika hapa kwao.choo kipo uwani na nje ya choo kuna kibaraza wamekaa wadogo zake wa kike.kwa jinsi nilivyoharisha sauti ilikuwa mubashara nje na nimewasikia wanacheka
Mpaka naandika msg hii nipo bado inside.sasa sijui sura yangu nikitoka
Ukitoka smile huku ukiwaambia hao mabinti TUMBO LA KUHARA HALINA ADABU KABISA!
 
Mimi kama hali ikiwa hivyo nikiingia toilet kama kuna kitu chochote nakiburuza niunganishie hukohuko au unaflash unaendelea hapo hapo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom