kazi za sasa hivi siyo kujua kazi bali kujuana.mia
jaribu hiyo link nyingine!Mimi napata msg hii...
The URL contained a malformed video ID.
Sorry about that.
Nenda kwenye wall yao ya fb andıka hapo wıth 5mıns lazima watakujıbu,fanye hıvyo alafu ulete jıbu.
i have made a graphic video cartoon for Tigo,thinking that they will love it and use it.
But it was different when i visited their office,i met with receptionist and i told her what i brought them.
she simply answered "we dont accept advertizment ideas from individuals we have our own expert who deals with such thing"!
but WHY?dont you know that sometime those you call individuals we have good ideas than that of your experties!
simple advice to you Tigo and such of your kind JARIBUNI KUTANUA UWANDA WA MAWAZO YA KIMATANGAZO ILI
MUWEZE KUSHINDANA VIZURI KATIKA BIASHARA YENU.....DO NOT BE CONSEVERTIVE!
You can watch my made cartoon video here
Kazi Nzuri ila sio lazima Tigo tu. Mm nakupa kazi ambayo nitakulipa hela yeyote unayotaka.
Tengeneza Katuni ya kikwete akihutubia Jangwani mara ghafla akapata kizunguzungu akapiga chini.
Ni-pm kwa maelewano.
Sent from my BlackBerry® smartphone on the Tigo Tanzania Network
Nenda kwenye wall yao ya fb andıka hapo wıth 5mıns lazima watakujıbu,fanye hıvyo alafu ulete jıbu.
Huu ushauri wako mzuri.
Na kam walivoymshauri wadau amekuwa mwepesi kupewa majibu reja reja na mtu wa mapokezi kuliko kupoteza nguvu zake kwenda ofisni yao bora hata agenaza kupiga simu kuulizia wahusika wa mareketing na kuwajua kwa majina.( Meneeja, au directr au hata wafanyakazi wa kwaida kitengo cha marketing).Ni bora uchomolewe lakini uchomoloewe na muhuisika. Hiyo ni Miliestone
Vile vile japo sio mtaalam wa graphics nadhani rangi alizotumia haziendani endani sana na Tigo
Hebu weka tena hii video haionekani banaaaaaa.