Ni Zaidi ya Umalaya ni USALITI, Kama mimi ndiyo huyo msela wako ( Naamini yuko hapa JF na
kwa namna ulivyoelezea mazingira kashakufahamu) adhabu yako ni kukugonga na Gari tu
Big up kaka kazi nzuri im so impressed by u...u relly know how to Take care of a Lady!!!
nyie wengine mnalaumu bure mmesahau jamaa katoa cost na muda wake kumsaidia + First Aid...he dissolve some CREDITS!!
Wanawake hawapigwi siku hizi ukipiga tu wenzio wana Take care mnasuluhishwa mambo safi kumbe Mtu kala tunda take care dont beat your Wife!!
cheers!!
m naona pouwa kwann umtwange dem wako demu anpgwa na mahaba unamkoleza na dude sana we unapga ngum endelea kumega kisela mwana
Nina rafiki yangu ambaye tuko naye tangu ljumaa tukata ulabu maeneo ya Boko.
Usiku wa kuamkia Jumapili alikuwa na ugomvi mkubwa na demu wake.
Jamaa akampiga sana mwanamke, hayo yalikuwa yakitokea nyumbani kwa huyo binti.
Binti akanaipigia simu, nikaenda nikamkuta binti kazimba jicho na sura nzima, analia.
Nikakaa na mumbembeleza, nika msponji kisha nikampeleka hospitali.
Tukarudi nyumbani na nikaendelea kumsaidia baadhi ya kazi.
Nlipotaka kuondoka ndio akanishukuru kisha akaniambia let me kiss u good bye.Busu lilikuwa la mdomoni, refu na tamu ile mbaya, si ndio tukajikuta tumepitiliza hadi kwenye utupu. Kucheki pembeni kuna kibox cha KAMASUTRA condoms.
Nikamega bwana bila kuvunga, leo naandaa kikao cha usuluhishi kisha mi natambaa zangu
Nilitamani kukuponda ila nimegundua wengi(wanaume)wanamega shemeji zao na wengi(wanawake)wanamegwa na shemeji zao. What to do?
HONGERA MKUBWA, Realy wewe ni KIDUME CHA MBEGU!