umuhiri marato
Member
- May 8, 2014
- 68
- 5
kuna ndug yake wa karibu ameahidi kushughulikia suala hili la huyu dada, nawashukuru kwa ushauri wenu wenye kujenga, asanteni
Aliyekwambia kazi za jeshi zinanunuliwa nani?dada huyu anaitwa tiba abdallah ni askari jw, makao makuu jkt, nimaliza nae form four 2008 nyanduga sec,mwaka jana alinipigia cmu kuwa kuna nafac za jw zimetoka nimtumie pesa na vyeti kwenye email,nikamtumia, hadi leo hii cmu hapokei sms hajibu nikipiga namba mpya akickia sauti yangu anakata facebook ameniblock, nifanye ndugu zangu nimloge,nifatilie makao makuu ya jeshi maana uthibitisho wa sms za m pesa upo,npo mkoani nifunge safari nikafatilie dar?,tafadhari watanzania nishaurini nimfanyeje mtu huyu, inaniuma kutapeliwa na mmtu ninaemfahamu na pesa yangu ni zaidi ya laki mbili wapendwa?
laki mbili ufunge safari? wewe ni mpare?
laki mbili ufunge safari? wewe ni mpare?
Lol. Yaani gharama za kusafiri hadi dsm, na kushuttle tu zitazidi hiyo laki mbili.
anauza ng'ombe ili ashinde kesi ya kuibiwa kuku. Mpare wa hedi!
Mwacheni akamfunze adabu
usijaribu kuja huku utatiwa ndani kwani umeshiriki rushwa cha kufanya andika barua kwa katibu mkuu wizara ya ulinzi andika malalamiko kuwa huyo dada anachukua hela za watu mitaani na kuwa ahidi atawatatutia nafasi jeshini chini ya barua andika nakala kwa vyombo vya habari hutapata hela yako ila utamuharibia kazi dawa ya moto