umuhiri marato
Member
- May 8, 2014
- 68
- 5
- Thread starter
- #41
nawashukuruni kwa ushauri wenu nitaufanyia kazi ndg zangu
Huyo Dada ana Papuchi yenye Value ya Laki 2?!Mwambie akupe papuchi ugegede mmalizane.
mama yeyoo , ndito wangu acha kusema ukweli
dada huyu anaitwa Tiba Abdallah ni askari JW, makao makuu JKT, nimaliza nae form four 2008 Nyanduga sec,mwaka jana alinipigia cmu kuwa kuna nafac za jw zimetoka nimtumie pesa na vyeti kwenye email,nikamtumia, hadi leo hii cmu hapokei sms hajibu nikipiga namba mpya akickia sauti yangu anakata facebook ameniblock, nifanye ndugu zangu nimloge,
Nifatilie makao makuu ya jeshi maana uthibitisho wa sms za m pesa upo,npo mkoani nifunge safari nikafatilie dar?,tafadhari watanzania nishaurini nimfanyeje mtu huyu, inaniuma kutapeliwa na mmtu ninaemfahamu na pesa yangu ni zaidi ya laki mbili wapendwa?
Mimi nakushauri kwa upande wa kuku block facebook.Fungua akaunti nyingine ya facebook kisha mtafute na umfikishie ujumbe wako.
Mtoa rushwa na mpokea rushwa wote ni watuhumiwa
laki mbili ufunge safari? wewe ni mpare?