umuhiri marato
Member
- May 8, 2014
- 68
- 5
- Thread starter
- #21
laki mbili ufunge safari? wewe ni mpare?
ndg laki mbili kwangu mm ni pesa kubwa kwa biashara, pili inauma kutapeliwa kwa mtu ambaye tumeishi kama ndg na familia moja
laki mbili ufunge safari? wewe ni mpare?
Wewe Hebu grow up...laki mbili ndo zinakupa stress hivyo? Kadri utakavyoishi utakuja kutapeliwa vikubwa kuliko hivyo. Jifunze kusamehe now
Aliyekwambia kazi za jeshi zinanunuliwa nani?
dada huyu anaitwa tiba abdallah ni askari jw, makao makuu jkt, nimaliza nae form four 2008 nyanduga sec,mwaka jana alinipigia cmu kuwa kuna nafac za jw zimetoka nimtumie pesa na vyeti kwenye email,nikamtumia, hadi leo hii cmu hapokei sms hajibu nikipiga namba mpya akickia sauti yangu anakata facebook ameniblock, nifanye ndugu zangu nimloge,nifatilie makao makuu ya jeshi maana uthibitisho wa sms za m pesa upo,npo mkoani nifunge safari nikafatilie dar?,tafadhari watanzania nishaurini nimfanyeje mtu huyu, inaniuma kutapeliwa na mmtu ninaemfahamu na pesa yangu ni zaidi ya laki mbili wapendwa?
hata cmu hajabadili namba huwezi amini hata sms hajibu, cjui ni dharau au ndo kujiona kuwa yuko juu ya sheria? Mara ya mwisho nilimtumia sms naiguliwa anipe hata nusu lakini alikaa kimyaMimi nakushauri kwa upande wa kuku block facebook.Fungua akaunti nyingine ya facebook kisha mtafute na umfikishie ujumbe wako.
aahahhahahahah
mshukuru, amekufundisha ujanja manake amekuibia laki 2 tu, nafuu manake kama c dada Tiba aliyekutibu, cku angekuja mshikaj wa BOT na kukuambia kuna kazi ila ulipe milioni mbili--kwa staili hii, ungeuza hadi mashamba!shukrani ndugu kwa ushauri wenu nitaufanyia kazi, huyu dada ataishia kubaya, kaajiriwa mwaka jana lakini amekuwa tapeli balaa
shituka wewe--staili hiyo ya utapeli lazima ufanyiwe na mtu unayemfahamu na kumuamini! there's no way mtu umekutana nae barabarani halafu akuambie umpe laki mbili ili akupe kazi!ndg laki mbili kwangu mm ni pesa kubwa kwa biashara, pili inauma kutapeliwa kwa mtu ambaye tumeishi kama ndg na familia moja
kunamijitu humu sijui ni ulimbukeni. eti helandogo helandogo. zitoebasi umrudishie. watu wanauwana kwa shilingi mia sembuse laki mbili.nyamafu
ndg laki mbili kwangu mm ni pesa kubwa kwa biashara, pili inauma kutapeliwa kwa mtu ambaye tumeishi kama ndg na familia moja
dawa ni kumloga tu
dawa ni kumloga tu
dada huyu anaitwa Tiba Abdallah ni askari JW, makao makuu JKT, nimaliza nae form four 2008 Nyanduga sec,mwaka jana alinipigia cmu kuwa kuna nafac za jw zimetoka nimtumie pesa na vyeti kwenye email,nikamtumia, hadi leo hii cmu hapokei sms hajibu nikipiga namba mpya akickia sauti yangu anakata facebook ameniblock, nifanye ndugu zangu nimloge,
Nifatilie makao makuu ya jeshi maana uthibitisho wa sms za m pesa upo,npo mkoani nifunge safari nikafatilie dar?,tafadhari watanzania nishaurini nimfanyeje mtu huyu, inaniuma kutapeliwa na mmtu ninaemfahamu na pesa yangu ni zaidi ya laki mbili wapendwa?