Nimetapeliwa jamani

Kipatikanacho kwa uraisi basi hupotea kiuraisi hivyo hata wewe nahisi hizo hela hujapata kwanjia iliyo halali maana unadiriki kutembea na mtu ambaye haumjui alafu unamwambia unahela kihivyo kama haitoshi umedhara ofisi zinazofanya hiyo kazi umeenda kwenye ngazi mjini hesabu baba kama ulikuwa hujui shule kijijin
 
Mkuu hamna uchawi hapo ni changa la macho na hesabu nyingi ambazo wewe lazima sehemu ulibug tuu,utapeli upo wa aina nyingi ila usiamini kuwa uchawi ulikuwa applied hapo.Ni Changa la macho
Siku nyingine pasuka acha ukolo!
 
Pole sana mkuu...Umefanya vizuri kutubandikia yaliyokupata...chukulia hili kama somo ambalo umejifunza kitu fulani...
 
Huo ni uongo mtakatifu!! karne hii unatapeliwa ki hivyo!? umetokea wapi wewe kama ni kweli?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…