Mkuu, yule gwiji mkuu tulipeana mkono. Tena baada ya kuhesabu pesa nilimuuliza kama pesa hizo ni legal na valid akasema nisiwe na wasiwasi. Nikamuuliza kwa nini duka liko kifichoni akasema lengo ni kukwepa kodi kidogo. Nikawapa ushauri wafanye biashara y wazi kwani kificho kwa wateja kinatisha. Jamaaa akecheka na kunikaribisha tena akinisindikiza mpaka langoni