Nimestushwa na Bunge La Tanzania

Kuna wizi wa ccm siyo usalama wa nchi, akija mtu leo na hela akatwmbia nataka kuteka nchi tumfiche nahisi hata mawaziri wanaweza kumficha haraka na kwa upendo mkubwa
 
Kuna wizi wa ccm siyo usalama wa nchi, akija mtu leo na hela akatwmbia nataka kuteka nchi tumfiche nahisi hata mawaziri wanaweza kumficha haraka na kwa upendo mkubwa

Kama hauna cha kusema bora ukae kimya.
 
Moderators, hii iwekeni jukwaa la teknolojia. Kule wataalam wataijadili kwa kina, wengi wanaoingia kule huwa hawana mpango na siasa.
 
Mleta mada usipoteze watu, pitia hizi information zikusaidie. Hakuna siri kwenye internet.

no secrets on internet - Google Search

Wanaposema hakuna siri wanamaanisha ukibandika kitu mahali kinaweza kudakwa sehemu nyingine. Hii haimaanishi kuwa uache kila kitu wazi bila tahadhari eti kwasababu hakuna siri. Kumbuka hapa tunaongelea tovuti ya bunge siyo kajitovuti ka mipasho. Acha kutetea ujinga wewe.

Ni kweli unachokisema hakuna siri mtandaoni,ukitaka iwe siri labda uhifadhi kwenye andaki.

You're missing the point, a government site cannot be hosted on foreign country.
 
Pentagon ni moja ya sehemu ambayo data zake zinalindwa sana lakini wajanja wanaingia kama kawaida. Itakuwa Tanzania ambayo hata hiyo teknolojia yenyewe ya mtandao bado hatuijui vizuri?

Pentagon Admits 24,000 Files Were Hacked, Declares Cyberspace A Theater Of War - Business Insider

Sijakuelewa....kwa hiyo kama hata Pentagon walikuwa hacked basi sisi ndio tujiachie tu, hakuna umuhimu wowote wa kujali usiri/security kwa taasisi yetu muhimu sababu tu hata Pentagon waliwahi kuwa hacked!?
 
Wanaposema hakuna siri wanamaanisha ukibandika kitu mahali kinaweza kudakwa sehemu nyingine. Hii haimaanishi kuwa uache kila kitu wazi bila tahadhari eti kwasababu hakuna siri. Kumbuka hapa tunaongelea tovuti ya bunge siyo kajitovuti ka mipasho. Acha kutetea ujinga wewe.



You're missing the point, a government site cannot be hosted on foreign country.

Uwe na mtandao wako wa serikali ambao hauingiliani na huu wa US (Internet). Hata uweke wapi au uwe wapi, haijalishi, hakuna mpaka kwenye mtandao. Mafaili uyahifadhi US au uyahifadhi Tanzania ni hali moja, wenye mtandao wakiyataka wanayakokoa yalipo. Haijalishi ni wa bunge la Tanzania au US.

Usidhani pale bungeni wote ni mambumbumbu na hawalijui hilo, pale wanahifadhi hivyo hivyo vitu ambavyo unaweza wewe na mimi na mwingine akaingia kwenye tovuti yao na kuvipata. Kama umeona kuna siri iliyowekwa hapo ya Taifa amabayo ukiingia kwenye tovuti ya Bunge huwezi kuipta tuoneshe, bila hivyo, kama ni kuhusu kuweka mafaili ya mtandao US basi usitumie kanbisa hii internet, kwani hii yenyewe ilikuwa ni chombi cha mawasiliano cha jeshi la US na walipopata mawasiliano mengine ambayo yapo advanced zaidi wakauwachia huu utumike na kila mtu na kilichopo kwenye huu mtandao, chochote kile, kipo under their control.

How can you say a Government site cannot be hosted in a foreign country while the heart of the internet belongs to "that" foreign country? What a way of thinking, Hii ni "damned if you do damned if you don't".
 
Sijakuelewa....kwa hiyo kama hata Pentagon walikuwa hacked basi sisi ndio tujiachie tu, hakuna umuhimu wowote wa kujali usiri/security kwa taasisi yetu muhimu sababu tu hata Pentagon waliwahi kuwa hacked!?

Hakuna siri kwenye mtandao. Ni kipi ulichokiona kwenye hayo mafaili yaliyowekwa US ambayo ni siri na huwezi kuyaona ukiingia kwenye tovuti ya bunge? Hapo wanatafuta convenience tu advantage za data hosting, labda rahisi, labda reliable, labda. Hakuna cha kuweka siri kwenye mtandao wa public internet.

Duniani wanaotaka baadhi ya mawasiliano yao na siri zao zisijulikanae wanakuwa na mitandao yao ambayo haiingiliani kabisa na hii world wide web. wanakuwa na "local networks" ambazo ni kwa ajili yao tu na hazijaunganishwa kabisa na www.

Mfano ni kama una nyumba yako, ina choo cha uwani ambacho kila tom dick and harry anakitumia na una choo cha chumbani kwako (private self contained bathroom), sasa mkeo akiamua kwenda kuzianika kufuli zake choo cha uwani hapo usilalamike. Na ukitaka kufuli zako na za mkeo zisionekane basi utazianika huko huko chumbani kwako. Mtandao wa www ni kama choo cha uwani, hakuna siri huko.
 
Uwe na mtandao wako wa serikali ambao hauingiliani na huu wa US (Internet). Hata uweke wapi au uwe wapi, haijalishi, hakuna mpaka kwenye mtandao. Mafaili uyahifadhi US au uyahifadhi Tanzania ni hali moja, wenye mtandao wakiyataka wanayakokoa yalipo. Haijalishi ni wa bunge la Tanzania au US.

Usidhani pale bungeni wote ni mambumbumbu na hawalijui hilo, pale wanahifadhi hivyo hivyo vitu ambavyo unaweza wewe na mimi na mwingine akaingia kwenye tovuti yao na kuvipata. Kama umeona kuna siri iliyowekwa hapo ya Taifa amabayo ukiingia kwenye tovuti ya Bunge huwezi kuipta tuoneshe, bila hivyo, kama ni kuhusu kuweka mafaili ya mtandao US basi usitumie kanbisa hii internet, kwani hii yenyewe ilikuwa ni chombi cha mawasiliano cha jeshi la US na walipopata mawasiliano mengine ambayo yapo advanced zaidi wakauwachia huu utumike na kila mtu na kilichopo kwenye huu mtandao, chochote kile, kipo under their control.

Acha kubisha wewe zomba, hapo wahusika wameboronga na wewe kutetea ujinga unakua hauna tofauti na wahuska. Hata kama kweli US ndio waliotengeneza hii tekinolojia ya internet bado hakuna uhalali wa website ya bunge ku-hosted nje ya nchi. Huko ni kutokuwa makini katika mambo muhimu kitu ambacho tunakiona katika mambo mombo mengi yanyo fanyika nchini.


How can you say a Government site cannot be hosted in a foreign country while the heart of the internet belongs to "that" foreign country? What a way of thinking, Hii ni "damned if you do damned if you don't".

Now you act like someone who doen't know a yack about the internet.
 
Acha kubisha wewe zomba, hapo wahusika wameboronga na wewe kutetea ujinga unakua hauna tofauti na wahuska. Hata kama kweli US ndio waliotengeneza hii tekinolojia ya internet bado hakuna uhalali wa website ya bunge ku-hosted nje ya nchi. Huko ni kutokuwa makini katika mambo muhimu kitu ambacho tunakiona katika mambo mombo mengi yanyo fanyika nchini.




Now you act like someone who doen't know a yack about the internet.

WWW popote uwapo watakuona, labda uwe na network nje ya internet. Haiingiliani hata kidogo. Bila hivyo mafaili yako ya mtandaoni yatapatikana tu, u ya host Tanzania au kwingine.
 
Screenshot_2020-05-13 Parliament go tz WHOIS, DNS, Domain Info - DomainTools.png


Nawashukuru kwa kunisikiliza naona DNS mpaka server za mafaili yote yako Tanzania.
 
Hivi hawa usalama wa Taifa ni nani?Mbona ni kama mnataka kuwafanya kama ndiyo miungu wa nchi hii?
Tuwaonee huruma na sio kuwalaumu tu kila wakati.Huwezi kumlaumu mtu kwa uwezo wake wa kufikiria.Kama umefikia mwisho,umefika tu.

Hapo ndio muda sahihi wa kutoa tu ushauri,kazi yako inakuwa imekwisha.
Ni kosa la Usalama wa Taifa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
View attachment 1449541

Nawashukuru kwa kunisikiliza naona DNS mpaka server za mafaili yote yako Tanzania.

Websites zote za taasisi za kiserikali Afrika Mashariki zipo hosted kwenye data centre za kila taifa husika, hii ni sera ya kitambo.
Halafu hata bora huko walikua hosted Marekani, kama umefanya kazi na hawa data centers, yaani wazembe kupita maelezo, full kero.
Kwanza hebu fanya scanning ya hii website unayoisemea parliament.go.tz ushangae iko hosted kwenye PHP ya zamani sana version 5
Yaani version iliyopitwa na wakati na sio salama kabisa hata kuhost tovuti ya mjumbe wa nyumba kumi.
 
Hata uyatunze mwezini, mradi yako kwenye mtandao unaomilikiwa na US basi yakitakikana yanapatikana, usijidanganye wala usidanganye wengine kwa kuwa yanatunzawa Tanzania au US ndio yanawezekana yasipatikane. Kama unataka usalama wa data zako basi uwe na mtandao tofauti na huu wa internet, data zote ambazo zina link ya aina yoyote ya kwenye internet basi zipo "vulnerable" hakuna njia yoyote ya kuzuia.

Sidhani kama data za bunge au hizo za Serikali zina siri ambayo haijulikani kwa anaetaka kuzijuwa.
Kuna encryptions za data,data unaweza kuwa encrypted na zisiweze kufunguliwa na yoyote isipokuwa mtu au watu husika
 
Websites zote za taasisi za kiserikali Afrika Mashariki zipo hosted kwenye data centre za kila taifa husika, hii ni sera ya kitambo.
Halafu hata bora huko walikua hosted Marekani, kama umefanya kazi na hawa data centers, yaani wazembe kupita maelezo, full kero.
Kwanza hebu fanya scanning ya hii website unayoisemea parliament.go.tz ushangae iko hosted kwenye PHP ya zamani sana version 5
Yaani version iliyopitwa na wakati na sio salama kabisa hata kuhost tovuti ya mjumbe wa nyumba kumi.
Hizi tovuti zetu za Afrika zinatumiwa sana na script kiddies wa nje kama kichwa cha mwendawazimu. Yaani PHP 5, aisee! Natumai wahusika wataliona hili na kulisahihisha.
 
😁😁
Websites zote za taasisi za kiserikali Afrika Mashariki zipo hosted kwenye data centre za kila taifa husika, hii ni sera ya kitambo.
Halafu hata bora huko walikua hosted Marekani, kama umefanya kazi na hawa data centers, yaani wazembe kupita maelezo, full kero.
Kwanza hebu fanya scanning ya hii website unayoisemea parliament.go.tz ushangae iko hosted kwenye PHP ya zamani sana version 5
Yaani version iliyopitwa na wakati na sio salama kabisa hata kuhost tovuti ya mjumbe wa nyumba kumi.
😂😂😂
 
Hizi tovuti zetu za Afrika zinatumiwa sana na script kiddies wa nje kama kichwa cha mwendawazimu. Yaani PHP 5, aisee! Natumai wahusika wataliona hili na kulisahihisha.

Ndio maana wanamtafuta kigogo?
 
Back
Top Bottom