Msweet
JF-Expert Member
- Mar 26, 2014
- 2,937
- 3,997
Hivi kwa nini watu hupanga kufanya mambo ambayo hawana uwezo nayo na mwishowe wanaishia kuwa kero tu kwa wenzao?
Kwani hawawezi tu kufunga ndoa bila makeke kama uchumi hauruhusu?
Ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha