Harusi ni upuuzi mtupu. Mi kipindi naoa wote niliowachangia walikuwa wananipiga tarehe na awakutoa kitu kabisa. Kuna jamaa yangu nilimchangia 350,000TZS siku naoa hakutoa hata mia akasema hana kitu. Sema nilikuwa nimejipanga nitafanya sherehe ndogo 75% ikatoka mfukoni mwangu baada ya kuona hakuna watu wenye mpango wa kuchangia. nimepiga marufuku kutoa mchango wa harusi.