Hiyo ya Morogoro Muslim University umenena. Yani hata yale mazingira yanatisha kupita. Ngoja niishie hapa,..
hahaha,duh kweli cuf nyanyaliyote haya udini wameleta chadema.
Ofisini kwangu Bosi wangu simu yake Ring tone yake ni kwaya ya rose mhando na caller tone ni kwaya ya chibalonza, kuna siku alimpigia simu muislam mmoja ikaita korani (caller tone) akakata simu na kutukana sana eti kaweka mapepo na akatuambia tusimpigie simu huyo bwana sababu itaita korani...
Tuna mengi waTZ ni pamoja na ujinga wa kufikiri, ubinafsi na chuki.
Mwenye hilo jengo ndiyo mwenye petrol station"big bon" Nenda kaombe kazi pale
Petrol station,ukiwa na jina wanalotaka utapewa kazi.Wote pale wanaoweka mafuta
wamejifunika vichwa.
Faiza fox akienda anapata kazi bila kupingwa
Sio kweli, mi kuna mwanadada mmoja huwa 'ninamweka sawa' kila nijisikiapo, yeye ni Muislam na anafundisha moja ya Saint Mary's schoolswalimu na madereva wa shule za mama rwakatare lazima wawe wakristo
na waingie kanisani
Alharamain si ndo pale penye kisima cha wanazuoni wa An-nuur? Sasa kama wanazuoni wa lile gazeti 'kijiwe' chao Alharamain, kuna kazi tena hapo?Waislam Ndio zao..........Nenda Al haramain secondary ukaone mauozo.
Ulikatazwa Mkristo kuwa na kijisehemu chako cha kuchinjia ng'ombe? Hii lawama ni too lowSehemu zote za kichinjia n,gombe Tanzania zinamilikiwa na waislam naona kuna haja sasa ya kuubadilisha huu utaratibu.
Katika kujitafutia kipato nimeamua kugeukia ujasiriamali. Basi leo nikaamkia Sinza Mori nyuma ya sheli ya Big Bon kuna jengo la gorofa pale nikafika kwa ajili ya kuweka order ya sehemu ya biashara.
Nimepigwa na butwaa baada ya kutaja jina langu walinzi walisema hapa ni kwa waislamu pekee hakuna mkristu atakayeruhusiwa kupanga. Sikuishia hapo nikaomba no. Za mmiliki wa jengo kudhibitisha hio hali akasema mm ni msimamizi hili ni jengo la mkubwa mmoja. Na kweli ni mahususi zaidi kwa watu wenye imani ya kiislamu.
Kama tumefikia huko basi hali ni mbaya. Naomba wengine mkajaribu mpate kuthaminisha habari hii.
Sio mie nimuajiri. Unanchekesha!
Mie na mume wangu tulienda Lushoto kutembea, pale mjini kuna hoteli ya kulala, tulinyimwa vyumba bila kupewa sababu na mhudumu, siku ya pili tukaambiwa ile Hoteli ni ya Wakristo na hawapendi Waislaam wafikie pale.
Sidhani kama hao jamaa wamekosea ikiwa sababu ni hiyo. Mbona watu wa Dar es salaam tumezowea sana hiyo, zamani hata makazi ya Wakristo yalikuwa kule kunaitwa Mishen Kota (mission quarters). Unaweza ukaona ajabu ikiwa si mkazi wa Dar.
Kila mtu yuko huru kumpamgisha atakae na si ubaguzi huo. Nyumba nyingi sana wanafanya hivyo, kuna kwingine hata mkristo kwa mkristo hupangishwi kama si mlokole au hujaona hiyo nikuelekeze uende?
<br />Ni upuuuzi! Sasa hivi kuna vyuo vya kidini! Shenzi taipu! Hivi tutafika kweli?
ndio, wanasoma wote..rafiki yangu muislam pure, amepangwa Tumaini.ST. AUGUST, TUWAINI, KISANJI WANASOMA DIN ZOTE! AU!
Katika kujitafutia kipato nimeamua kugeukia ujasiriamali. Basi leo nikaamkia Sinza Mori nyuma ya sheli ya Big Bon kuna jengo la gorofa pale nikafika kwa ajili ya kuweka order ya sehemu ya biashara.
Nimepigwa na butwaa baada ya kutaja jina langu walinzi walisema hapa ni kwa waislamu pekee hakuna mkristu atakayeruhusiwa kupanga. Sikuishia hapo nikaomba no. Za mmiliki wa jengo kudhibitisha hio hali akasema mm ni msimamizi hili ni jengo la mkubwa mmoja. Na kweli ni mahususi zaidi kwa watu wenye imani ya kiislamu.
Kama tumefikia huko basi hali ni mbaya. Naomba wengine mkajaribu mpate kuthaminisha habari hii.