Jayfour
Senior Member
- Feb 20, 2011
- 114
- 11
Kuna tetesi kuwa bomu linapolipuka hufuata mionzi ya simu na eti inashauriwa kuzima au kutupa mbali mara usikiapo bomu limelipuka karibu.
Hivi karibuni wakazi wa Kitunda waliwalazimisha wenzao kuzima simu zao ili kuepusha mabomu kuja upande wao kufuata mionzi ya simu. Je ni kweli simu iliyowashwa ina effect yo yote na bomu linalolipuka?
Hivi karibuni wakazi wa Kitunda waliwalazimisha wenzao kuzima simu zao ili kuepusha mabomu kuja upande wao kufuata mionzi ya simu. Je ni kweli simu iliyowashwa ina effect yo yote na bomu linalolipuka?