ruaharuaha
JF-Expert Member
- Feb 14, 2018
- 3,554
- 3,750
muda unasubiri bei ishuke mara mtoto anaumwa mara michango ya harusi basi niweke benki au ktk simu mara tozo mara makato ya mwezi tunapigwa kotekote mkuu.
Sasa sera ambayo haijali wananchi alisimia 90% Wakifa poa tu.
Utaipa jina gani, michango tafadhari mimi nasema nilisema ni use.nge na sio personal issue,ni kwa serikali. natafuta neno kali zaidi labda limetulia. Maoni wadau.