Bati la Msauzi sawa. Itakuwa kweliWapi huko mkuu,Tanzania hii au Ni Burundi? Bati gauge 30 limepanda kutoka 18,000/= Hadi 22-25,000/=, hii Bei yako ya 41,000/= kwa gauge 30 imeanza lini?
Bati la Msauzi sawa. Itakuwa kweliWapi huko mkuu,Tanzania hii au Ni Burundi? Bati gauge 30 limepanda kutoka 18,000/= Hadi 22-25,000/=, hii Bei yako ya 41,000/= kwa gauge 30 imeanza lini?
Bati la msauzi hiyo bei naweza kuamini..Mshikaji wangu kanunia G30 Bati upan 90cm futi 10 kwa 34k. Kwa sasa siwezi bisha. Zile za versatile zilikuwa 37k mwaka jana.Bati ya migongo midogo ya futi 10 upana wa bati cm 90 (migongo 12)....kampuni Sunshare
Sikia bando Bati za rangi 30G ni 430,000 sawa na 27,000 ..Hapa ni Mbeya.
Wenyewe wakina nani?
zote ulizotaja hapo malighafi ( au product yenyewe) zinatoka uchina
Endelea kulialia sasaChakula, gas, mafuta, umeme, maji vipi tunawategemea China siyo. Be serious man.
Utajua hakuna unachojua, kipindi cha corona bei ya msfuta ghagi ilifikia-negaitve!Huna akili, negative maana kwamba mtu akienda kuweka mafuta analipwa ama? I hate kujenga hoja na dumb ass kids...
Niambie unachokijua
66Leo nimefanya window shopping kwenye moja ya kiwanda kikubwa cha mabati nimeshangazwa sana kukuta bati zimepanda bei sana! Sijui tunaelekea wapi na nn hatma ya hili.
Bati ya gauge 30 leo hi ni TZS 41,346 wakati miaka miwili nyuma bati hyo hyo ilikua TZS 27,000....Hata kama ni inflation hi kiboko na nadhani zitazidi kupanda.
Usibishe, nenda sokoni.Wapi huko mkuu,Tanzania hii au Ni Burundi? Bati gauge 30 limepanda kutoka 18,000/= Hadi 22-25,000/=, hii Bei yako ya 41,000/= kwa gauge 30 imeanza lini?
Kwani demokrasia inahusikaje na biashara?Shida iko wapi wakati kuna demokrasia? Tutaezekea demokrasia...hatutaki maendeleo ya vitu (by zitto mkigoma)
Sababu zimeshaelezwa ni inflation ya Dunia tunakoagiza raw materials na kupanda Kwa shipping costs, sababu zote ni out of our control.Usibishe, nenda sokoni.
Mwezi mmoja nyumba viwandani Kama bati bomba, tantu, snowbati ziliuzwa 23,000 gage30 saivi zinauzwa 29,000 kiwandani, je mtaani Bei gani?
Bati 28gage, nyeupe simba dumu mtaani Dar inauzwa wastani wa 35,000 kwa pisi.
Na viwanda vyote vina uhaba wa bati wengine wamefunga kwanza.
Bongo bei ya mchongo! Ifikie mahali mafuta yangeondolewa charges zote ukiachilia tu kodi!Unaongea vitu hata huvijui mwaka Jana Bei ya mafuta Marekani ilifikia Hadi negative ila Tanzania Bei ilibaki kuwa kubwa!
Wiki iliyopita nilikuwa Kenya so naongea ninachokijua acha kuleta taarifa zako za vitini.
Nenda Malawi hapo kaulizie Bei ya mafuta ya petrol ni shilingi 1,600 kwa lita 1. Leo Tanzania Ni tsh 2,400. Kwanini Bei iwe kubwa TANZANIA tu ? Hadi Burundi Petrol Bei ni chini. Sijui unazungumzia dunia ipi Bei ya mafuta ni kubwa.
Nyie ndio mkipewa nyadhifa mnaendesha nchi kipumbavu.
Sent from my CPH1803 using JamiiForums mobile app
Maisha ya ujenzi hivi sasa hayaelezeki. Nondo mm12 inakaribia 30,000/= Kitila Mkumbo yupo yupo tu. Maisha magumu sana. Wauzaji wenyewe wanalia.Ukirudi next week bati utazikuta 50