Al Watani
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 20,517
- 30,587
Acha uongo mkuu mwezi wa sita mikoani ilikuwa 360k bando gauge 30 tena ft nane.Acha uongo mkuu kwamba pc 1=tsh.41,346? Kwamba bando 1 ni zaidi ya 600k? Mbona mkoani bei ni hiyo 27,000 kwa PC?
Ft 10 ilikuwa karibia 400k .
Na hizo ni bati za kawaida