Nimeshangazwa na kukuta mabati yamepanda bei

Leo nmefanya window shopping kwenye moja ya kiwanda kikubwa cha mabati nimeshangazwa sana kukuta bati zimepanda bei sana! Sijui tunaelekea wapi na nn hatma ya hili.
Bati ya gauge 30 leo hi ni TZS 41,346 wakati miaka miwili nyuma bati hyo hyo ilikua TZS 27,000....Hata kama ni inflation hi kiboko na nadhani zitazidi kupanda.
Acha uongo mkuu kwamba pc 1=tsh.41,346? Kwamba bando 1 ni zaidi ya 600k? Mbona mkoani bei ni hiyo 27,000 kwa PC?
 
Leo nmefanya window shopping kwenye moja ya kiwanda kikubwa cha mabati nimeshangazwa sana kukuta bati zimepanda bei sana! Sijui tunaelekea wapi na nn hatma ya hili.
Bati ya gauge 30 leo hi ni TZS 41,346 wakati miaka miwili nyuma bati hyo hyo ilikua TZS 27,000....Hata kama ni inflation hi kiboko na nadhani zitazidi kupanda.
Ya rangi au kawaida?
 
Leo nmefanya window shopping kwenye moja ya kiwanda kikubwa cha mabati nimeshangazwa sana kukuta bati zimepanda bei sana! Sijui tunaelekea wapi na nn hatma ya hili.
Bati ya gauge 30 leo hi ni TZS 41,346 wakati miaka miwili nyuma bati hyo hyo ilikua TZS 27,000....Hata kama ni inflation hi kiboko na nadhani zitazidi kupanda.
Wapi huko mkuu,Tanzania hii au Ni Burundi? Bati gauge 30 limepanda kutoka 18,000/= Hadi 22-25,000/=, hii Bei yako ya 41,000/= kwa gauge 30 imeanza lini?
 
Leo nimefanya window shopping kwenye moja ya kiwanda kikubwa cha mabati nimeshangazwa sana kukuta bati zimepanda bei sana! Sijui tunaelekea wapi na nn hatma ya hili.

Bati ya gauge 30 leo hi ni TZS 41,346 wakati miaka miwili nyuma bati hyo hyo ilikua TZS 27,000....Hata kama ni inflation hi kiboko na nadhani zitazidi kupanda.
Maelezo yako haysjitoshwlezi.
1. Bati lipi unaongelea
2. Bati hilo lina urefu mita gani
3. Bati muundo upi?
 
Leo nimefanya window shopping kwenye moja ya kiwanda kikubwa cha mabati nimeshangazwa sana kukuta bati zimepanda bei sana! Sijui tunaelekea wapi na nn hatma ya hili.

Bati ya gauge 30 leo hi ni TZS 41,346 wakati miaka miwili nyuma bati hyo hyo ilikua TZS 27,000....Hata kama ni inflation hi kiboko na nadhani zitazidi kupanda.

910DFFDB-4523-472D-B6FE-D00956552494.jpeg
 
Ukweli ni kwamba kuna mfumuko wa bei mkubwa kuanzia 10% kwenda juu ndani ya miezi minane.

Chakula, mbolea, ujenzi vitu vyote.

Bei ya mazao mishahara haijaongezeka sambamba hivi vitu.

Hayo ni matokea ya kutunga sera zisizo na uhalisia. Utaua biashara nyingi sana kwa style hii.

Pia ongezeko la mshahara halina maana, wanakupa 3% wanachukua 30%.

Ni bora uthibiti inflation (upandaji wa bei wa vitu vyote).

Kiwe kipaumbele Serikai BOT, Wizara ya fedha.

Hizo kodi, tozo mwisho wa siku hazitaweza kulipwa. Bia utaua wengi kwa sera kama hizi indirectly.
 
Matokea yake ni majambazi, wezi, rushwa, ufisadi, ukabaji, ubakaji vibaka wengi zaidi mtaani.

Biashara haziendi, watu wasio na matumaini wanaweza kufanya chochote.

Huwezi kuweka kodi/ tozo nk kila sehemu muhimu ndani ya miezi sita usipate inflation.

Angalau wangeleta vitu vyao taratibu, kwa mpangilio, kwa muda wa kutosha. So people and systems can adjust.
 
Back
Top Bottom