edward93
JF-Expert Member
- Jun 27, 2015
- 561
- 1,334
- Thread starter
- #41
Hi ni wake up call ndhani tunaelekea kubaya zaidi tusiposhtuka mapema, nondo ya mm 12 ilikua 20k lakni leo ni 25-27k ndani ya muda mfupi sanaUkweli ni kwamba kuna mfumuko wa bei mkubwa kuanzia 10% kwenda juu ndani ya miezi minane.
Chakula, mbolea, ujenzi vitu vyote.
Bei ya mazao mishahara haijaongezeka sambamba hivi vitu.
Hayo ni matokea ya kutunga sera zisizo na uhalisia. Utaua biashara nyingi sana kwa style hii.
Pia ongezeko la mshahara halina maana, wanakupa 3% wanachukua 30%.
Ni bora uthibiti inflation (upandaji wa bei wa vitu vyote).
Kiwe kipaumbele Serikai BOT, Wizara ya fedha.
Hizo kodi, tozo mwisho wa siku hazitaweza kulipwa. Bia utaua wengi kwa sera kama hizi indirectly.