Tetra
JF-Expert Member
- Oct 5, 2012
- 1,520
- 764
Mtoto wa miaka 6 alikuwa anapenda sana hadithi,,Bibi yake alilitambua hilo,usiku mmoja alimwita huyo mtoto amsimulie hadithi,,bibi kaanza BIBI: Hapo zamani za kale..
MTOTO:Mmmm!
BIBI: Sungura na fisi walikuwa..
MTOTOAKADAKIA) aaa! Bibi hiyo nimeshajua mwisho wake,Lazima sungura atamzidi ujanja fisi,,nisimulie nyingine ila sio ya sungura
MTOTO:Mmmm!
BIBI: Sungura na fisi walikuwa..
MTOTOAKADAKIA) aaa! Bibi hiyo nimeshajua mwisho wake,Lazima sungura atamzidi ujanja fisi,,nisimulie nyingine ila sio ya sungura