kama ninao 30 na wote nawajali si wote watanitaja? au kuna kipengele cha jina ili baadae waunganishe? maana itaweza tokea MziziMkavu kahesabiwa mara 20kama una ndugu Tz atakutaja! Ila uwe unawajali maana kuna swali linauliza kama huwa wanapokea msaada wowote kutoka kwa ndugu wa nje
kama ninao 30 na wote nawajali si wote watanitaja? au kuna kipengele cha jina ili baadae waunganishe? maana itaweza tokea MziziMkavu kahesabiwa mara 20
Mi hawajanihesabu na sihesabiwi tema nama washanikata stim
Mm pia nimeshahesabiwa! Swali mojawapo unaulizwa kama kuna mwanafamilia alieko nje ya nchi so watakaojibu ni pale ambapo ulikua una permanent residence sio kila ndugu!
Mi hawajanihesabu na sihesabiwi tema nama washanikata stim
Huyu kijana muelewa sana,alipita hapa mida ya saa 6 hivi mchana nikamwambia mimi sihesabiwi akaniomba maji ya kunywa nikamsitiri akaendelea na safari zake!Wala haihitaji nguvu ukiwaambia wanakuelewa vizuri tu.
Sina nia ya kuwatisha ila ninaushauri Kwenu.. Zoezi la SENSA linaambatana na Zoezi la Uandikishaji wa Vitambulisho vya Taifa na NIDA wamewaomba Makarani wa Sensa kufanya hivyo.... Sasa hebu fikiria Mara mbili mbili
You can take it or not
Sina nia ya kuwatisha ila ninaushauri Kwenu.. Zoezi la SENSA linaambatana na Zoezi la Uandikishaji wa Vitambulisho vya Taifa na NIDA wamewaomba Makarani wa Sensa kufanya hivyo.... Sasa hebu fikiria Mara mbili mbili
You can take it or not