Tufunguane ubongo

Tufunguane ubongo

Equation x

JF-Expert Member
Joined
Sep 3, 2017
Posts
40,357
Reaction score
62,598
Ebu chukua nondo za milimita 6, vikatekate viwe vipande vidogo, chukua
flat bar uikate kwa kipimo maalumu.

Chukua vile vipande vidogo vidogo vya nondo vichomelee kwenye flat bar.

Hicho ulichokitengeneza, kiweke kwenye mpini; hapo tayari utakuwa umetengeneza reki.

Kwa kifupi, utakuwa na kiwanda cha kutengeneza reki na wewe utakuwa Real CEO (aliye jiajiri).​
 
Aaah! Vipande vya nondo unavichomeka au unachomelea? Kama kuchomeka, sijaona hatua ya kutoboa flat bar na kuweka vizuizi vya vipande vya nondo visichomoke.

Na namna ya maungio ya mpini na flatbar haijatolewa ufafanuzi.

Hizo nondo hazinolewi kuwa na ncha?
 
Aaah! Vipande vya nondo unavichomeka au unachomelea? Kama kuchomeka, sijaona hatua ya kutoboa flat bar na kuweka vizuizi vya vipande vya nondo visichomoke.

Na namna ya maungio ya mpini na flatbar haijatolewa ufafanuzi.

Hizo nondo hazinolewi kuwa na ncha?
Unavichomelea, itakuitaji uwe na sehemu ya uchomeleaji, na si lazima uanze na mtaji mkubwa.
 
Ebu chukua nondo za milimita 6, vikatekate viwe vipande vidogo, chukua

flat bar uikate kwa kipimo maalumu.
Chukua vile vipande vidogo vidogo vya nondo vichomelee kwenye flat bar.

Hicho ulichokitengeneza, kiweke kwenye mpini; hapo tayari utakuwa umetengeneza reki.

Kwa kifupi, utakuwa na kiwanda cha kutengeneza reki na wewe utakuwa Real CEO (aliye jiajiri).​

Unaweza kuwa mwanzo wa maandalizi kisha uelekee kwa CEO mwenye kampuni ya kuchomelea ukamilisha mchakato.
 
Market siyo rahisi kiasi hicho wajuluo wanasemaga uhitaji wa reki wangapi wanataka reki zako for what kuongea kwa mdomo ni simpo unaweza jenga ghorofa mpaka mawinguni but njoo practical sasa it's useless
Tatizo linaweza kuwa soko, lakini zinatengenezwa, na ukienda madukani utazikuta; ukiwa mjasiriamali hutakiwi kuogopa
 
Itategemea na malengo uliyonayo, pamoja na gharama ya uzalishaji.
Awali uliielezea kirahisi sana ndio maana nikawa nashangaa kwanini ubongo wangu haufikirii ipasavyo?

Sasa hapo kwenye gharama, unawezakujikuta gharama ya kuzalisha, bora ununue tu kama alivyochangia ERoni

Ila kuna kitu nimeambulia na ubongo wangu umefunguka (hii sitanii na wala si masihara). Nimepata ufunuo
 
Tatizo linaweza kuwa soko, lakini zinatengenezwa, na ukienda madukani utazikuta; ukiwa mjasiriamali hutakiwi kuogopa
Upo sahihi back then nikiwahi uza reki unanunua reki tano zinakaa miezi 6 ndo zinaisha uhitaji wake mdogo mno njo na wazo lingine tuone hebu
 
Back
Top Bottom