Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 65,758
- 156,810
Wew ni lichawi mkuu, mara ukimbizwe na simba, nyoka,nyati na leo paka kaongea.Wakuu leo nilipokua narejea home nilikutana na paka mwekundu akiwa na hirizi shingoni nilistuka na kutaka kutoka nduki lakini cha ajabu paka yule alinisemesha maneno yafuatayo"jirani unatoka kazini jiraniii leo usiku tunakuja kukuroga na kukugeuza kuku"
Nimeogopa sana yaani leo usiku nageuzwa kuku?
Naona unatafuta soko lipia tangazo