Nimerusha m pesa wrong number

Nimerusha m pesa wrong number

Pole sana mkuu Huyo mtu ni rahisi sana kumpata.
Anza Facebook, Instagram huko utampta tu lazima. Pili nenda tcra na police watakupa msaada zaidi.
 
jamani saa sita usiku wakala gani anakuwa yupo wazi?
yeye anasema kuwa ameona ameshaitoa, kaonaje wakati hana uwezo wa kuona kama imetolewa?
kwanini tudanganyane?
 
jamani saa sita usiku wakala gani anakuwa yupo wazi?
yeye anasema kuwa ameona ameshaitoa, kaonaje wakati hana uwezo wa kuona kama imetolewa?
kwanini tudanganyane?


Pumbavu...
Wapi amesema amerusha saa sita usiku. Ama kwa kuwa Uzi umeandikwa saa sita usiku...
Shenzi kabisa, unapajua Kinondoni Mango Garden???? Nenda pale hata saa Tisa usiku mawakala wapo online usiku kucha .
 
ETI SIKU HIZI VODACOM HAWAFUNGII LAINI YA MTU ALIYEPOKEA HELA YA MTU MWINGINE KIMAKOSA HALAFU AKAITOA ETI WANAKUAMBIA UWASILIANE NAYE HUYO MTU KWAMBA HAWAWEZI KUFUNGA AKAUBTI YA MTU BILA IDHINI YAKE.
POLE NDUGU ILA HELA NDO IMEENDA NA USAWA HUU HUYO ANAWEZA HATA AKABDILISHA SIMU
 
Abari wadau ? Naombeni ushauri nimetuma m pesa namba isiyo sahihi kuhamaki jamaa kashaitoa nawapigia voda wanasema hawana namna kashaitoa pesa kwaiyo hawawezi nisaidia, naombeni ushauri wadau ni 350,000
Hapo mpaka siku akiweja ela wataizuia.
Ila sasa kwa vyuma vilivyokaza inawezekana hata line akaitosa
 
ETI SIKU HIZI VODACOM HAWAFUNGII LAINI YA MTU ALIYEPOKEA HELA YA MTU MWINGINE KIMAKOSA HALAFU AKAITOA ETI WANAKUAMBIA UWASILIANE NAYE HUYO MTU KWAMBA HAWAWEZI KUFUNGA AKAUBTI YA MTU BILA IDHINI YAKE.
POLE NDUGU ILA HELA NDO IMEENDA NA USAWA HUU HUYO ANAWEZA HATA AKABDILISHA SIMU
Kumbe siku hizi ndivyo ilivyo?
Ila inaleta logic maana kulikuwa na mtindo unafanya biashara na mtu anakutumia ela unampa mzigo mkiachana anapga sim anawambia kakosea kutuma ela wanafunga line ya mtu na wanamrudshia
 
Jifanye Freemason....mwambie tumekuchagua wewe uwe mmoja wetu....na ujiandae kutoa kafala tutakayohiitaji mwisho wa mwaka huu.....bila Shaka atakurudishia na ya kutolea juu....
Atakua alilia lia sana hivyo kuharibu hiyo strategy ya u_mason
 
  • Thanks
Reactions: Pep
Kumbe siku hizi ndivyo ilivyo?
Ila inaleta logic maana kulikuwa na mtindo unafanya biashara na mtu anakutumia ela unampa mzigo mkiachana anapga sim anawambia kakosea kutuma ela wanafunga line ya mtu na wanamrudshia
Patia picha inatokea ya kukutokea kama huyu mdau hapa, alafu njia hiyo ndo ivyo hawaitumii,

Ilikua inasave licha ya faida yake ndo ivyo wahuni wakawa wanaitumia vibaya
 
Patia picha inatokea ya kukutokea kama huyu mdau hapa, alafu njia hiyo ndo ivyo hawaitumii,

Ilikua inasave licha ya faida yake ndo ivyo wahuni wakawa wanaitumia vibaya
Hapo ndipo utata ulipo mkuu
 
Kuna siku nlitumiwa Laki moja na mtu nisiemjua afuu nlikuwa nina hali mbaya Kishenzi...! Sikuitoa ilee helaa lakini baadae nlikuja kushangaa Ilee hela ilirudishwa afu Jina la mtu aliekosea Lilikuwa la Ndugu yangu mtoto wa ba mkubwa.. Sikuwahi mtafuta ila mpaka kesho huwa najiuliza maswali mengi sana.. polee sana kijana sometimes ukute hata Huyo jamaa hiyo helaa hajaitoa ebu jaribu kumtafutaa uone inakuwaje... Maana voda nao janja janja sanaa....
unajiuliza maswali gani sasa?
 
  • Thanks
Reactions: Pep
jamani saa sita usiku wakala gani anakuwa yupo wazi?
yeye anasema kuwa ameona ameshaitoa, kaonaje wakati hana uwezo wa kuona kama imetolewa?
kwanini tudanganyane?
Yani wewe ndo lodilofa kabisa posti kuandikwa saa sita sio kigezo kwamba katuma huo mda em kuwa na akili ya ziada
 
Hata niwekewe milion mia moja sio yakwangu, ntamsubir mwenyewe apige simu afu nimwambie , waambie voda wairudishe kwako, pesa kama sio yakwako ukiila lazima itakucost tuu aisee.
Pole hajui yatayomjia huyo.
 
Abari wadau ? Naombeni ushauri nimetuma m pesa namba isiyo sahihi kuhamaki jamaa kashaitoa nawapigia voda wanasema hawana namna kashaitoa pesa kwaiyo hawawezi nisaidia, naombeni ushauri wadau ni 350,000
Ndugu ,hukuona jina kabla ya kutumia,pole sana.
 
Wewe huwa hutoi SADAKA hapo MUNGU amekurahisishia...
So kuwa mpole tu
 
Naomba unirushie tena nione kama utakosea japo 50K tu ndo zimepungua
 
Abari wadau ? Naombeni ushauri nimetuma m pesa namba isiyo sahihi kuhamaki jamaa kashaitoa nawapigia voda wanasema hawana namna kashaitoa pesa kwaiyo hawawezi nisaidia, naombeni ushauri wadau ni 350,000
Hakuna jinsi
 
Back
Top Bottom