kyanyangwe
JF-Expert Member
- Oct 31, 2018
- 1,460
- 4,167
Nina kabachelor kangu,lkn nimekula za uso utumishi,tra na gbt.
Sasa nimewahi kupitia mafunzo ya mgambo na kutunukiwa cheti.
Nimeamua nijitose tu kwenda kuwa mlinzi,kwa kuanzia leo nimepata mchongo wa kwenda kukamata wahalifu flani wanaotuhumiwa na jamii kuwa wanauza bangi na kusumbua wananchi mtaani.huu mchongo ukikamilika leo jioni sikosi ka elfu 40 kangu ka kunywea bia.
Nikivaa gwanda zangu sikosi ela za rushwa kutoka kwa mama ntilie,machinga na watu wanaokojoa hovyo mitaani.
Sasa nimewahi kupitia mafunzo ya mgambo na kutunukiwa cheti.
Nimeamua nijitose tu kwenda kuwa mlinzi,kwa kuanzia leo nimepata mchongo wa kwenda kukamata wahalifu flani wanaotuhumiwa na jamii kuwa wanauza bangi na kusumbua wananchi mtaani.huu mchongo ukikamilika leo jioni sikosi ka elfu 40 kangu ka kunywea bia.
Nikivaa gwanda zangu sikosi ela za rushwa kutoka kwa mama ntilie,machinga na watu wanaokojoa hovyo mitaani.