Nimepoteza Pete ya ndoa, ushauri wa haraka

Nimepoteza Pete ya ndoa, ushauri wa haraka

Assume hukuwa unachepuka ofcn.

Ulivua pete, say ukiwa unataka kunawa mikono baada ya kazi flani. Kwa bahati mbaya ukasau kuivaa tena. Cleaner mmoja ameipitia akasepa nayo.

Unashindwa nini kumwambia hayo wife wako? Kwani ana tabia ua kukutembezea kichapo once in a while?
 
Unapigwa na mkeo au?!..kwan pete ikipotea kuna tatizo gani...si unampa taarifa tu,maana hauhitaji kumwrleza story ndefu pete imepotea basi hamna la zaidi
Ukiona ivo ujue ana makandokando..... Hana la kueleza akaeleweka.. We mtu unavua pete ili ugeuze gar!! Utaekeweka na nani
 
Kwani unadhani alikuea na mwanamke ndio akapoteza?!cku hz unavaa pete na gest unaingia na mwanamke hamna anayejali


Mwanaume hutakiwi kujielezea sana kwny mambo hayo,mwanamke atakuzidi maneno tu hapo.


Lazima uwe mbabe
Ubabe utakuja kukutokea puani... Sio kila mtu ni wa kufanyia ubabe
 
Unapigwa na mkeo au?!..kwan pete ikipotea kuna tatizo gani...si unampa taarifa tu,maana hauhitaji kumwrleza story ndefu pete imepotea basi hamna la zaidi
No ubabe lazima ujieleze vizuri tu

Kwanin uitoe inaonekana ni kamchezo kake kakuitoa sasa imepotea

Jiandae tu maana harufu tu ya mke au mume kuwa si muaminifu nyumba itakuwa jehanam ndogo
 
Sasa nkikwambia pete nlivua kazini ikapotea unataka maelezo gani zaidi?!


Mpk nije na affidavit ndio uelewe?

Mumeo huwa unamuhoji sn maswali nae katulia tu?!
Wewe unaniuz aisee.. Ungefanyaje kwa mfano. Unapiga au! Unajifanya mbabe unadhani wanawake wanafanana wote?
 
Hivi mtu huruhusiwi kabisa kuivua pete hata kama inakuwasha?
Me huwa naivua nikiwa nyumbani, navaa tu pale napotoka maana hua inaacha alama sana kidoleni... Ila umeivua ukiwa kazini kwa kitu gani hasa..
 
Haaa haa.Mm nina miaka 14 ya ndoa.Ile yenyewe orijino ilipotea baada ya mwaka,huwa ninanunua zinapotea.Mm kazi zangu za field huwa namdanganya nillivua ili isije kujikunja.Na hata sasa hivi ninaye hapa kwenye kochi anaangalia TV mm sina pete yeye anayo orijino na ya engagement.Aliamua kunyoosha mikono
 
Assume hukuwa unachepuka ofcn.

Ulivua pete, say ukiwa unataka kunawa mikono baada ya kazi flani. Kwa bahati mbaya ukasau kuivaa tena. Cleaner mmoja ameipitia akasepa nayo.

Unashindwa nini kumwambia hayo wife wako? Kwani ana tabia ua kukutembezea kichapo once in a while?
Kama kweli ilipotea kwa mazingira masafi wala huwez kupata kigugumizi.. Vinginevyo lazima bafsi ikusute....
 
Back
Top Bottom