Nimepoteza Pete ya ndoa, ushauri wa haraka

Nimepoteza Pete ya ndoa, ushauri wa haraka

Inakuwashaga ukiwa ofisin tu au na nyumban pia?maana usijarib kutafuta sababu
Kidole kinaweza kuwasha wakati wowote ukiwa popote. Yani watu mnashindwa kuaminiana wenyewe kwa wenyewe mnaanza kuweka uaminifu wenu kwenye chuma?
 
Wewe unaniuz aisee.. Ungefanyaje kwa mfano. Unapiga au! Unajifanya mbabe unadhani wanawake wanafanana wote?
Sasa ukiambiwa pete imepotea kazini kwann iwe tatizo km unamwamini mumeo?...
 
Ayo yanatokea km una best yako ambae yuko home mwambie akuazime,hakuna mwanamke wakuelewa ilosomo .
 
Aaaah mkuu ushakosa papuchi tayar

Na atathibitisha kuwa unachepuka unaanzaje kupoteza pete ya ndoa

Na sijui utatoa sababu gani akuelewe
 
Labda mkewe ni wale wakorofi hivyo mtaa mzima utajua mume wa fulani leo kapoteza pete.

Unapigwa na mkeo au?!..kwan pete ikipotea kuna tatizo gani...si unampa taarifa tu,maana hauhitaji kumwrleza story ndefu pete imepotea basi hamna la zaidi
 
Sema ukweli hiyo pete ulipoiacha,ntakuambia nini cha kufanya,na hiyo tabia yako pia uiache mara moja.
 
Aaaah mkuu ushakosa papuchi tayar

Na atathibitisha kuwa unachepuka unaanzaje kupoteza pete ya ndoa

Na sijui utatoa sababu gani akuelewe
 
Kwa kuwa yamtokayo mtu ndo yale yaliyo moyoni, umekuwa ukitoroka geti sana siku za karibuni, Hata home mama akipata kamoja baasi na tena ni kale ka mashindano ya moyo tu kuwa; Moyo naomba usiniumbue kwa mama. Sasa, leo, arobaini zimefika. Nenda tu, tulia, akikuuliza, mwambie, "Nimekosa nisamehe". Kwa anavyokuhusudu, atalia tu
 
Mwambia ulikuwa mnamfanyia procedure mgonjwa ukavua

Au
.mwambia waliumwa ukafanyiwa operation ukapo ukaambiwa tulikuvua pete lakn imepotea kwa sisi ma doctor tunaweza
 
Back
Top Bottom