Reina princess
JF-Expert Member
- Jul 1, 2015
- 1,322
- 1,503
Hivi pete ya ndoa ni kitu kikubwa kiasi hicho mpaka mtu achanganyikiwe ikipotea?Hahaha itakuwa balaa jamaa kainyea ndoa
Hivi pete ya ndoa ni kitu kikubwa kiasi hicho mpaka mtu achanganyikiwe ikipotea?Hahaha itakuwa balaa jamaa kainyea ndoa
Kwani unadhani alikuea na mwanamke ndio akapoteza?!cku hz unavaa pete na gest unaingia na mwanamke hamna anayejaliAcha ukauzu babaangu, yaan aje aniambie pete imepotea kirahisi rahisi hivyo yaan cta muelewa kabisaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Mshauri Kwa busara...unadhan kuwa na gari ni ishuu?kama huna ushauri tulia wenye busara zao watamshauri'Ukageuza gali.' Ebu nambie gali ya aina gani. Maana ndolilikua lengo. Ina CC ngapi, model gani
Kwani unadhani alikuea na mwanamke ndio akapoteza?!cku hz unavaa pete na gest unaingia na mwanamke hamna anayejali
Mwanaume hutakiwi kujielezea sana kwny mambo hayo,mwanamke atakuzidi maneno tu hapo.
Lazima uwe mbabe
sasa ukiwa mbabe, ndo ntajua umenisaliti. Haiwezekani pete ipotee kirahis hivyo kuna mjanja tu, atakua kakuvua yaan umechepuka.Sasa nkikwambia pete nlivua kazini ikapotea unataka maelezo gani zaidi?!![]()
![]()
![]()
sasa ukiwa mbabe, ndo ntajua umenisaliti. Haiwezekani pete ipotee kirahis hivyo kuna mjanja tu, atakua kakuvua yaan umechepuka.
Mkuu pete niilivua nilikuwa naisafishaIli tukusaidie jibu swali hili kwanza, kwann ulivua pete hiyo ofcn?
Tusubirie mrejesho...Mungu anakuona
Uliivua ya nini?Habari za humu wanajamiiForums,
Tangu saa 10 jioni nikiwa njiani kuelekea nyumbani kutoka kazini baada ya kumaliza kazi za leo, nimejikuta ghafla sina pete ya ndoa na katika kumbukumbu zangu nikakumbuka kuwa niliivua nikiwa ofisini nikageuza gari kurudi kazini kwa ajili ya kwenda kuichukua.
Nimefika ofisini nimetafuta pete mpaka muda huu saa 2 usiku sijafanikiwa kuipata kwa bahati mbaya mke wangu bado sijamjulisha. Kwa bahati mbaya maduka muda huu Karikoo yamefungwa.
Naombeni ushauri kwani nahisi nikifika nyumbani mambo yanaweza yasiwe sawa kutokana na;
1. Nimezoea kurudi mapema nyumbani kufikia 12 jioni huwa tayari nimefika nyumbani na leo hii kuchelewa halafu sina pete.
2. Siku za hivi karibu mke wangu amekuwa akihisi natoka nje ya ndoa hivyo tumekuwa na kamvutano ka chinichini.
3. Narudi bila pete ya ndoa
Hata me nasubir jibu lakeIli tukusaidie jibu swali hili kwanza, kwann ulivua pete hiyo ofcn?
We ukielezwa uo utumbo utaelewa?? Anaujua mziki wake we muacheKwani si umwambie ukweli tu? Au unamuogopa
Kugeuza gari kunahusiana nini na pete iliyoko kidoleni?'Ukageuza gali.' Ebu nambie gali ya aina gani. Maana ndolilikua lengo. Ina CC ngapi, model gani