Reina princess
JF-Expert Member
- Jul 1, 2015
- 1,322
- 1,503
Yapi yatanikuta embu nijuze kidogoNoo my dia, ukiolewa utaniambia yatakapokukuta
Yapi yatanikuta embu nijuze kidogoNoo my dia, ukiolewa utaniambia yatakapokukuta
Reina thread ya huyo jamaa yenyewe inajieleza kwamba tayari mkewe alishahis kwamba anachepuka....hiyo inamaanisha uaminif ulishapungua sasa kama tangu wafunge ndoa hajawah kuwashwa na hiyo pete akiwa na mkewe lkn inamuwasha ofisin thats a red flag.....Kidole kinaweza kuwasha wakati wowote ukiwa popote. Yani watu mnashindwa kuaminiana wenyewe kwa wenyewe mnaanza kuweka uaminifu wenu kwenye chuma?
Yapi yatanikuta embu nijuze kidogo
Mimi hata sioni tatizo. Pete unaweza kuvua tu hata kama haikuwashi. Pete ni kitu foreign kwenye mwili kama vile hereni.Reina thread ya huyo jamaa yenyewe inajieleza kwamba tayari mkewe alishahis kwamba anachepuka....hiyo inamaanisha uaminif ulishapungua sasa kama tangu wafunge ndoa hajawah kuwashwa na hiyo pete akiwa na mkewe lkn inamuwasha ofisin thats a red flag.....
Natamani niyafahamuMwenzio yamemkuta mengi ndio maana anasema hivyo

Mh!but what if uaminif hakuna tena???don expect mke wa huyo jamaa kumuelewa wakat alishamdoubt and yes ur right pete ni kitu foreign lkn tayar wana misunderstandings.Hapo mwanamke atapata uhakika kabisa jamaa anachepuka even if he is not na ni kwa sababu alishamtilia shaka lkn kama wangekuwa ktk line moja without mapishano mwanaume angemweleza sababu yeyote ile na mke angemuelewaMimi hata sioni tatizo. Pete unaweza kuvua tu hata kama haikuwashi. Pete ni kitu foreign kwenye mwili kama vile hereni.
Sitegemei mtu akae na pete kidoleni milele. Kama mtajenga uaminifu wenu katika kuvaa au kutovaa pete hapo naona kuna tatizo
Kuna kazi zinahitaji kuvaa Gloves, labda ungemuulza anafanya kaz gan kwanza ndo umhukumuYaani we huna defence yoyote uliivua ili iweje kama sio nia mbaya? Nani kakuambiaga kuwa inavuliwa ukiwa kazini? MI SIKUSHAURI KITU WE NENDA TU NYUMBANI MKEO AKATHIBITISHE KUWA UMEAMUA KUINYEA NDOA YENU KWA AJILI YA VIMADA VYA OFISINI KWENU.
Uaminifu kama haupo, haupo tu. Na pete haiwezi kuwa ndo uthibitisho kuwa jamaa anachepukaMh!but what if uaminif hakuna tena???don expect mke wa huyo jamaa kumuelewa wakat alishamdoubt and yes ur right pete ni kitu foreign lkn tayar wana misunderstandings.Hapo mwanamke atapata uhakika kabisa jamaa anachepuka even if he is not na ni kwa sababu alishamtilia shaka lkn kama wangekuwa ktk line moja without mapishano mwanaume angemweleza sababu yeyote ile na mke angemuelewa
Walioolewa na kuoa wataelewa...Uaminifu kama haupo, haupo tu. Na pete haiwezi kuwa ndo uthibitisho kuwa jamaa anachepuka
Mume wangu anaijua dhamani yangu, anipige kwa nini!
Umejuaje kama sijaolewaWalioolewa na kuoa wataelewa...
SafiHaihusu kitu kupiga mke. Punda ndiye anayepigwa si mke.
Kama tayari basi endelea kuomba Mungu awaepushe na usaliti...Usiombe kuexperience betrayal from ur loved ones;hahahahahaUmejuaje kama sijaolewa
Usilolijua ni sawa na usiku wa giza....Una mdomo sn ww...yani hiyo pete angekuwa kapoteza mumeo ungeongea mpk chu.pi ichanike
Hehehehehe....nalijuaUsilolijua ni sawa na usiku wa giza....
Wewe mwanaume unamuona kabisa si mwaminifu, leo hii arudi nyumbani pete hana na akuambie sababu ni alivua ili aioshe, tangu amekuoa leo ndio pete imechafuka?? Ni rahisi kuelewa pale tu mtu una imani nae.. Utamu wa ngoma huwez kuuelewa had uingie uchezeYapi yatanikuta embu nijuze kidogo
Unajua lipHehehehehe....nalijua