Nimepoteza fedha kwenye account yangu ya CRDB

Nimepoteza fedha kwenye account yangu ya CRDB

Mara nyngi malalamiko ya kibank eleza kwa maandishi na ubaki na copy yako na waeleze kwa maandishi na unapoaandika barua unatoa copy ya ticket na staement inayoonyesha jinsi pesa ilivyotoka na kuingia ambatanisha pelekea barua maji kwenye tawi ulofungulia account na barua nyingine makao makuu na huku ukfatilia kama unavyofanya, ukiona unapooza tishia kwenda kumuona meneja na hata kuenda mahakamani ukicheka na wizi mdogo utaliza vibaya mno.
 
Sasa hapo bongo bank gani ipo salama
 
Achana nao,andika barua BoT na uwaambie kuwa hiyo bank imeshindwa kushughulikia tatizo lako,ukifanya hivyo utapata hela zako faster!
 
Mara nyngi malalamiko ya kibank eleza kwa maandishi na ubaki na copy yako na waeleze kwa maandishi na unapoaandika barua unatoa copy ya ticket na staement inayoonyesha jinsi pesa ilivyotoka na kuingia ambatanisha pelekea barua maji kwenye tawi ulofungulia account na barua nyingine makao makuu na huku ukfatilia kama unavyofanya, ukiona unapooza tishia kwenda kumuona meneja na hata kuenda mahakamani ukicheka na wizi mdogo utaliza vibaya mno.

asmss80,

Thanks for advice, Nilifanya hivyo, ila kuna mdau humu analifanyia kazi kwa undani hope atatupatia ufumbuzi mapema! I will surely give feedback ASAP hapa hapa radio one!

Ila majibu niliyokuwa nikipata aisee kama hujitambui ni shida kidogo!
 
money is back! see updates! on my post
 
Ila kua makini na online transactions


Asante Mkuu, ila online transaction una maana gani, kwa kua kuna mobile transction na internet kama kununua vitu online, which specifically do you mean Mkuu wangu? au ni zote hizi!?
 
Back
Top Bottom