Nimepoteza fedha kwenye account yangu ya CRDB

Kiresua

JF-Expert Member
May 13, 2009
1,184
259
Jamani nimepoteza fedha kwenye account yangu ya xxxxx, inaonekana kuna fedha zilitolewa kwa visa Ubungo 22....15 sh 200,000/-, zikatoka tena visa Ubungo 22... 2015 sh 200,000/= (jumla 400,000) zikarudi tena zote, halafu zikatoka tena on the same date.

Pia hazina ATM charges kama inavyotakiwa kuwa nimeandika barua xxxx kuhusu malalamiko yangu haya wananipa majibu ya assumptions. Hayaingii akilini, on the date ya transaction nilikuwa njiani kuelekea Dodoma kutolea Moro.!

Ikawa labda niliwahi kutoa fedha kwa visa lakini mwezi wa 3/5 nilitoa 100,000 NBC Ubungo na zilikuwa reflected kwenye statement, lakini pia statement huwa insema pia ni visa ya benk gani na tawi gani ila hii imesema tuu VISA UBUNGO.

Strange!

Kuna yeyote mwenye uelewa wa hatua stahiki za kuchukua ni play smart?

Thank you



UPDATES:
--------------------

I am grateful to report back to this forum that, yesterday my money were reversed back in full amount. Special thanks to Mulugwanza who provided an admirable efforts on the matter and spearheaded it to its own end.

Thanks to all who provided a clue and encourage me to pursue further.

Nilichojifunza ni kuwa our issues when reported to the branches are either not considered seriously or not reported to the appropriated department. They try to solve them in their capacity hata kama wanajua they are not capable.

So, any serious issue like mine HQ DSM is your saviour!!!

 
Pole sana mkuu.... mi nadhani kwakuwa umeshatoa taarifa komaa nao wafanye uchunguzi haraka pesa yako irudishwe... inawezekana kuna wizi unaoweza kuwa unaendelea
 
wanipa majibu mepesi mepesi nikikwenda kuchukua majibu jana wakanipa hayo majib......nikawwambia narudi tena j1 mnieeleza nawapa muda wa kuzitafuta
 
Walikupiga muosha huowoshwa ....sasa kumbe wewe una jielewa.
komaa nao tena wakupe na interest juu kama ya 75,000.
 
wanipa majibu mepesi mepesi nikikwenda kuchukua majibu jana wakanipa hayo majib......nikawwambia narudi tena j1 mnieeleza nawapa muda wa kuzitafuta

mkuu kama wanakuzingua kwa nini usifike makao makuu wana huduma nzuri watakuhudumia fasta na taarifa zako utazipata
 
CRDB ni majanga. CRDB ni kama hawajielewi, wakati mwingine mteja anaonekana kama mtu fulani mwenye shida wakati pesa ni za kwake. Siwaelewi kabisa hawa watu.
 
CRDB ni majanga, imenitokea siku za karibuni kiasi karibu na chakwako, pesa inaonekana imelipwa kwa VISA Card, nimefuatilia mpaka nimechoka. Kilichobak ni kwenda kufunga account tu. CRDB ni kama hawajielewi, wakati mwingine mteja anaonekana kama mtu fulani mwenye shida wakati pesa ni za kwake. Siwaelewi kabisa hawa watu.

Ulifuatilia wapi mkuu,? kwa hiyo nimeliwa!! agrrrrrr!!!!
 
Jamani wa-tz hatuna uelewa wa kimtandao, hizi huduma za ki-internet ziepukeni kama ukoma!!!! wizi ni mkubwa kwa kiwango cha kutisha Duniani, kwa sasa.
 
Jamani wa-tz hatuna uelewa wa kimtandao, hizi huduma za ki-internet ziepukeni kama ukoma!!!! wizi ni mkubwa kwa kiwango cha kutisha Duniani, kwa sasa.


I agreee sasa tufanyeje! mkuu
 
Jamani wa-tz hatuna uelewa wa kimtandao, hizi huduma za ki-internet ziepukeni kama ukoma!!!! wizi ni mkubwa kwa kiwango cha kutisha Duniani, kwa sasa.

Ndugu yangu, mimi haikuwa inausiana na biashara ya mtandao, ni kuwa pesa zinatolewa na zinaingia bila idhini ya mteja. Ukifuatilia ni ahadi lukuki hakuna hatua yoyote inayochukuliwa.
 
Umejiunga na E- banking? yaani unaweza kutoa hela kwa kutumia simu? Nijibu kwanza ndoo nikupe maelezo ninauzoefu fulani kwenye hili
 
Jamani nimepoteza fedha kwenye account yangu ya CRDB, inaonekana kuna fedha zilitolewa kwa visa Ubungo 22....15 sh 200,000/-, zikatoka tena visa Ubungo 22... 2015 sh 200,000/= (jumla 400,000) zikarudi tena zote, halafu zikatoka tena on the same date.

Pia hazina ATM charges kama inavyotakiwa kuwa nimeandika barua CRDB kuhusu malalamiko yangu haya wananipa majibu ya assumptions. Hayaingii akilini, mimi niko Morogoro, on the date ya transaction nilikuwa Dodoma.!

Ikawa labda niliwahi kutoa fedha kwa visa lakini mwezi wa 3/5 nilitoa 100,000 NBC Ubungo na zilikuwa reflected kwenye statement, lakini pia statement huwa insema pia ni visa ya benk gani na tawi gani ila hii imesema tuu VISA UBUNGO.

Strange!

Kuna yeyote mwenye uelewa wa hatua stahiki za kuchukua ni play smart?

Thank you

Weka screen print-out ya bank statement zikionyesha hizo transactions plus proof ulikuwa Dodoma.
 
Jamani mbona hii kesi ni ndogo sana.Haichukui hata siku moja kama Bank ipo makini kupata majibu.
ATM zote zina Camera.Na ukutoa pesa inaonyesha muda.
Kwanini wasiende kuchukua record ya kituo husika ilipotoka pesa then waone picha ya mtoa hela iwe rahisi ku follow up.

Na upande wa Sie wateja,tuache kupenda saana wake zetu na madem zetu.Hapa siendelei
 
Jamani mbona hii kesi ni ndogo sana.Haichukui hata siku moja kama Bank ipo makini kupata majibu.
ATM zote zina Camera.Na ukutoa pesa inaonyesha muda.
Kwanini wasiende kuchukua record ya kituo husika ilipotoka pesa then waone picha ya mtoa hela iwe rahisi ku follow up.

Na upande wa Sie wateja,tuache kupenda saana wake zetu na madem zetu.Hapa siendelei

Security camera haisaidii kitu ndani ya Bongo, labda mwizi awe katoka Bulgaria, Kosovo Albania au Romania, maana wizi wa ATM ndiyo mchezo wao, hata minoti ya Bongo kwao dili. Huyu jamaa visa card yake itakuwa skimmed na fraudsters, ni kuomba card mpya tu, pamoja na reimbursement of stolen funds.
 
Nenda BOT kunakitengo kina shughulika na wateja wenye matatizo na bank yake
 
Mbona mimi nilipoteza hela nikiwa nje ya nchi na wakanirudishia baada ya kuandika barua na kuuwasha moto? Waambie hayo majibu mepesi wakuandikie barua manake hujaelewa. Uende kwa branch na wakikuzingua uwaambie unataka kumuona meneja.
 
Kuna wife Wa mtu alikuwa akimuibia mumewe hajui mume kustuka millions hakuna kwenda benki camera mkewe live bila chenga..
Wife alikuwa akijenga nyumba sasa hubby kanuna majina ya mkewe. Shughuli.
 
Ndugu e-banking natumia Sim banking. Natransact kufanya malipo kwa sim
 
Back
Top Bottom