Nimepoteza fedha kwenye account yangu ya CRDB

Nimepoteza fedha kwenye account yangu ya CRDB

ndugu nipo kwenye banking kwa muda sasa, na moja kat ya shughuli nifanyazo ni fraud investigation, case kama hizi zipo benk takriban nying hapa tz na duniani kwa ujumla sema kwa vile hapa kwetu twaona ni mambo mapya, ila frauds in banks ni serious problem.....hasa kwenye ulimwengu wa sayansi na technologia. fraudsters wanatumia sayansi ya hali ya juu sana kufanikisha dhamira zao, so nijukumu la benk kuwa n robust systems zinazoweza punguza uwezakano wa majanga kama haya

New Generation,
Hembu nijuze hivi kwanini tunaoibiwa ni sie maskini tuu?
Ila middle class na upper wao hawamo kwenye majanga haya au tuseme ndio wanakaa kimya au accounts zao zinalindwa zaidi.
Na kama hali ni hii,itafikia hatua sasa hizi Cards zitakuwa useless kwa ulimwengu wetu huu,maana follow up yenyewe ya bank ni dhaifu.Na inaonekana ni rahisi mno watu kuibiwa.Na pia inawezekana pia kwenye hali kama hii ikawa kisingizio ni wizi wa mitandao ila baadhi ya watu wakahusika kwa kisingizio cha mwavuli huo.
 
CRDB ni majanga, imenitokea siku za karibuni kiasi karibu na chakwako, pesa inaonekana imelipwa kwa VISA Card, nimefuatilia mpaka nimechoka. Kilichobak ni kwenda kufunga account tu. CRDB ni kama hawajielewi, wakati mwingine mteja anaonekana kama mtu fulani mwenye shida wakati pesa ni za kwake. Siwaelewi kabisa hawa watu.

Karibu NMB
 
Mimi walilamba 3.5 million, tena ilionekana kwamba nime-draw mwenyewe physically kwa teller..! Damu yote ilishuka miguuni mwili ukapata ganzi. Nilihisi nimeibiwa kimtandao maana nilikuwa nimefanya online purchase kwa MasterCard. Nilivyowafuata kuangalia bank statement ili nijue nani katoa pesa tena dirishani nikaambiwa hakuna network njoo badae, kirahisi tu. Nikarudi, then kwa nyodo na dharau nikaambiwa umetoa mwenyewe, nikawaambia nionyesheni hiyo slip niliyosign, nikaelezwa nirudi reception watanisaidia, kuwaeleza jamaa mmoja akamfuata teller aliyetoa pesa zangu siku husika , wakaniambia eti alijichanganya, sorry sana. Wakatu huo macho yangu yalikuwa na rangi 7 tofauti, nilikuwa nakaribia kunywa damu ya pale. Walirudisha haraka Sana!
 
Mimi walilamba 3.5 million, tena ilionekana kwamba nime-draw mwenyewe physically kwa teller..! Damu yote ilishuka miguuni mwili ukapata ganzi. Nilihisi nimeibiwa kimtandao maana nilikuwa nimefanya online purchase kwa MasterCard. Nilivyowafuata kuangalia bank statement ili nijue nani katoa pesa tena dirishani nikaambiwa hakuna network njoo badae, kirahisi tu. Nikarudi, then kwa nyodo na dharau nikaambiwa umetoa mwenyewe, nikawaambia nionyesheni hiyo slip niliyosign, nikaelezwa nirudi reception watanisaidia, kuwaeleza jamaa mmoja akamfuata teller aliyetoa pesa zangu siku husika , wakaniambia eti alijichanganya, sorry sana. Wakatu huo macho yangu yalikuwa na rangi 7 tofauti, nilikuwa nakaribia kunywa damu ya mtu pale. Walirudisha haraka Sana!
 
Kwa hili na mimi nisaidieni ni bank gani ina unafuu ktk kuaminika?
 
New Generation,
Hembu nijuze hivi kwanini tunaoibiwa ni sie maskini tuu?
Ila middle class na upper wao hawamo kwenye majanga haya au tuseme ndio wanakaa kimya au accounts zao zinalindwa zaidi.
Na kama hali ni hii,itafikia hatua sasa hizi Cards zitakuwa useless kwa ulimwengu wetu huu,maana follow up yenyewe ya bank ni dhaifu.Na inaonekana ni rahisi mno watu kuibiwa.Na pia inawezekana pia kwenye hali kama hii ikawa kisingizio ni wizi wa mitandao ila baadhi ya watu wakahusika kwa kisingizio cha mwavuli huo.

Ndugu ukiibiwa kwa njia ya mtandao benk inatakiwa kurudisha pesa yako ingawa kuna utaratibu wa kufuata kulipwa pesa yako baada ya uchunguz kufanyika.. Lakin kama pesa itapotea kwa uzembe wako kwamfano wizi utokanao na kushare password hyo inakua ni shida yako..

Lakini pia kwa upande wa makampuni au wateja wakubwa, wao wanaweza kua frauded kwa kwa namna nying pia ikiwa ni pamoja kadi skimming, cheque forgeries, scam mail instructions, collusion, ingawa kwa wateja wakubwa inakua mara chache kutokana na kua wanatumia njia nyingne zaid ya kibenk kuliko atm kadi, lakin pia mtu akifanikiwa kuibwa kwa mteja mkubwa impact yake inakua kubwa sana maana unakuta amount involved inakua kubwa, so hata benk inakua na uangaliz wj hali ya juu kwa miamala mikubwa.

Niwakati wa baadh ya banks kuweka na robust systems kuweza ku-frustrate any fraud attempt. Training za kutosha kwa watumish wake, lakin pia elimu itolewe kwa wateja dhidi ya haya mambo.
 
Mimi walilamba 3.5 million, tena ilionekana kwamba nime-draw mwenyewe physically kwa teller..! Damu yote ilishuka miguuni mwili ukapata ganzi. Nilihisi nimeibiwa kimtandao maana nilikuwa nimefanya online purchase kwa MasterCard. Nilivyowafuata kuangalia bank statement ili nijue nani katoa pesa tena dirishani nikaambiwa hakuna network njoo badae, kirahisi tu. Nikarudi, then kwa nyodo na dharau nikaambiwa umetoa mwenyewe, nikawaambia nionyesheni hiyo slip niliyosign, nikaelezwa nirudi reception watanisaidia, kuwaeleza jamaa mmoja akamfuata teller aliyetoa pesa zangu siku husika , wakaniambia eti alijichanganya, sorry sana. Wakatu huo macho yangu yalikuwa na rangi 7 tofauti, nilikuwa nakaribia kunywa damu ya mtu pale. Walirudisha haraka Sana!

Pole ndugu.. Ila kuna benk hapa tz haitakuja tokea pesa ya mteja ikaibiwa over the counter, kwakua ili pesa itoke lazima mteja aweke kidole chake ili computer itambue kama kweli anaetoa pesa na mteja halisi au lah..hii inafanya wale wafanyakaz ambao sio waaminifu washndwe kutoa pesa bila mteja kuwepo. Ndo maana nasisitiza benk zatakiwa kuwa na systems ambazo zinasaidia kupunguza kwa kiwango kikubwa majanga haya.. Asante
 
Matajiri wanaajiri watu maalum wa kufatilia akaunt zao na wanawataalam was mambo ya kibenk
 
mim niseme nina iman na crdb.emu wasikilize wanasemaje japo utakutana na wafanyakaz vichom
 
Benki zenye wateja wengi hazi feel sana pain ya mteja. hata ukisema unafunga account hawajali. tumia benki zenye wateja kiasi hata kama account maintanance fee iko juu kidogo zaidi ya hizi zingine, as long as unapata attention inayostahili. pia sasa hivi kuna chip n pin cards in most of the banks. hizi cards ni ngumu kufanyiwa skimming labda mtu akuibie physical card na awe na pin yako ndo ataweza kukuibia. but unfortunately banks nyingi hazijafanya awareness ya kutosha kwa wateja wao ili warudishe card za zamani wapewe mpya, na hilo ni agizo la BOT. benk zilizofanya awareness ni exim,barclays na nmb. the rest wanaenjoy tu kuona wateja wanaibiwa
 
Jamani nimepoteza fedha kwenye account yangu ya CRDB, inaonekana kuna fedha zilitolewa kwa visa Ubungo 22....15 sh 200,000/-, zikatoka tena visa Ubungo 22... 2015 sh 200,000/= (jumla 400,000) zikarudi tena zote, halafu zikatoka tena on the same date.

Pia hazina ATM charges kama inavyotakiwa kuwa nimeandika barua CRDB kuhusu malalamiko yangu haya wananipa majibu ya assumptions. Hayaingii akilini, mimi niko Morogoro, on the date ya transaction nilikuwa Dodoma.!

Ikawa labda niliwahi kutoa fedha kwa visa lakini mwezi wa 3/5 nilitoa 100,000 NBC Ubungo na zilikuwa reflected kwenye statement, lakini pia statement huwa insema pia ni visa ya benk gani na tawi gani ila hii imesema tuu VISA UBUNGO.

Strange!

Kuna yeyote mwenye uelewa wa hatua stahiki za kuchukua ni play smart?

Thank you

Hawa jamaa naona wameshakuwa wezi, hata mimi kwenye account yangu inaonyesha nimetoa laki3 mlimani city, ila sijatoa hiyo pesa, ukifuatilia unapewa longolongo tu. Nadhani hawa jama inabidi kuwafuatilia kwa karibu.
 
Benk nying wanatoa chip & pin cards, lakin bahati mbaya hawa disable ile magnetic strip so unakuta kadi inakua active pande zote mbili (micro chip na magnetic strip) na magnetic strip ndo ipo vulnerable to card skimming
 
Back
Top Bottom