Nimepigwa na house girl

Nimepigwa na house girl

Duh pole mno ila mafundi wanasubili hela yao wao hawataki hizi porojo
 
Huwezi kusahau laki saba kwenye mfuko wa suruali kama maisha yako njaa njaa kama wewe? Hapo utakuwa umeongeza sifuri sifuri mbele itakuwa elfu 7 ya supu baada ya kubanwa na mama ntilie ukaona ukimbilie nyumbani kusave nayo ukaona hola ndio unamsingizia dada wa watu kusave soo au kuja kuchangamsha genge humu.


Laki saba tena ya ujenzi usahau kwenye mfuko wa suruali kwa usawa huu wa magu njoo na bandiko jingine mkuu.
Aisee hii ni kma kwel..uzur mm nimepitia kwenye hizo harakat za ujenzi.
Nikiwa kwe ye harakat za mafundi na vifaa huwa simuamin hata wife kwa suala la pesa mpaka nimeiweka mahal salama...sio tu simuonyeshi bal hata kumwambia huwa namwambia baada ya kulipa mafundiau kununua vifaa..
Tena kipind hicho huwa sitak hata kuonana na wanangu wasije wakaniletea atory za school fees halaf nikawaonea buruma nipunguze mchuz..noooooo
 
Ukimpata leta mrejesho

Ila swali,,una mke?? Nani anapaswa kutoa nguo kumpa Dada?? Mama ndo wajibu wake kama hafui yeye anatakiwa akague nguo za mumewe ndo ampe Dada afue,,kuna siku atafua na chupi na vitu vya aibu zenu,
Sina mke
 
Huwezi kusahau laki saba kwenye mfuko wa suruali kama maisha yako njaa njaa kama wewe? Hapo utakuwa umeongeza sifuri sifuri mbele itakuwa elfu 7 ya supu baada ya kubanwa na mama ntilie ukaona ukimbilie nyumbani kusave nayo ukaona hola ndio unamsingizia dada wa watu kusave soo au kuja kuchangamsha genge humu.


Laki saba tena ya ujenzi usahau kwenye mfuko wa suruali kwa usawa huu wa magu njoo na bandiko jingine mkuu.
Naweza nikaungana na wewe laki saba sio mchezo usawa huu uisahau kiboyaboya
 
kama anaakili anafanya busness then anakurudishia kianzio chako na penzi juu wee unaonaje
 
kama anaakili anafanya busness then anakurudishia kianzio chako na penzi juu wee unaonaje
Sina haja na mambo yakishetani,cha muhimu fedha yangu tu ipatikane
 
Unampa pole ya bure tu huyu mkuu wewe kweli unaweza kusahau laki saba kwenye mfuko wa suruali kwa usawa huu wa magu?

Hiyo hela ata ukilala na mke usiku unashituka kuitazama kama ipo kweli.
Yawezekana Ameibiwa Lakin.... Ni Pesa Ilio Chini Ya Laki 7 Na Inamuuma. Labda Kaamua Kusema Laki 7 Hili Kupata Attention Lakini Ela Aliyoibiwa Ni Chin Ya Laki 7! Mtazamo Huu.
 
Back
Top Bottom