Nimepigwa na butwaa

Poor Brain

JF-Expert Member
Joined
Jul 5, 2019
Posts
27,494
Reaction score
55,140
Wasalam wakuu.

Katika hali ya kushtukiza na kuchanganya leo hii nimekuta application ya jf kwa simu ya mama..

I don't know ni nani kamwekea hii application au imekuaje kuaje.

Nimeshindwa hata kuifungua ila nime unstaill aiseee....

Yaani imekuaje kuaje wakuu..
Humu ndani humu umakini unatakiwa wa kutosha aiseee

Bado najiuliza kama anatumia jf au laah..
Nimepigwa na butwaa...

Wakuu mjiheshimu kuna watu mna assume ni mtu flani.. nimesema sijajua kama kajiunga au laa
 
Kwani JF Ina mipaka ya umri hadi umshangae huyo,mamaako?!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…