Nimepigwa kiboya. Roho inaniuma!!

Nimepigwa kiboya. Roho inaniuma!!

Kama kuna mwanaume ambaye kwake buku ni kubwa, basi hastahili kuwa na mwanamke yaani tena hastahili kabisa hata kuwa na hamu ya kufanya ngono anatakiwa atafute pesa aache kuwaza ujinga.
Mbona mnatubagua wakuu.

Sie ndiyo hatustahili mapenzi?
 
Kwa kauli zake tu naassume hana hadhi hata ya kusalimiana na mimi status yake in real life mimi hainihusu na wala sitaki kuijua na kama amezaliwa huo mwaka aliouandika kwenye id yake ndiyo kabisa hakutakiwa hata kuireply comment yangu
Mmmh
 
Huyo unamtumia vocha ya 5000/= kabisa na usipige simu tena alafu unatulia zako bila kutarajia chochote in return kutoka kwake, nakuhakikishia tu utamla hata mwaka 2020 atarudi tu kwa njaa siku moja,
Usiwe na haraka pia jifunze kuweka viporo.
Una uvumilivu....unatongoza leo unasubiria miezi 10 ijayo??
 
Dah.. Nilichelewa kikao aisee.. Nahisi agenda hii ilinipita
Tulisha kubalianaga kwenye kile kikao chetu hakuna kumuunga demu na bando, ww kiherehere chako kimekuponza. Ila wanawake badilikeni sikuhizi wanaume hatuoi wapiga mizinga
 
Hakuna mayala kama mnapeana kwa satifaction tu. Umalaya kama unauza
Khee mmeshabadilisha na maana ya malaya tena? Ninyi si mnasemaga mwanamke aliyetembea na wanaume wengi ni malaya ila mwanaume aliyetembea na wanawake wengi ni kidume?
 
Serengeti boys, kwa mitazamo yako ili kujiepusha na mifumo dume unakuwa nako ndani tuuu. Usikapuuze kanaweza
Weee kuna wanawake wamevifuga ndani hivyo na bado vinawanyanyasa na vinawasaliti havinaga hata shukrani
 
Kuna sehem nimeandika 'huyu naoa kabisaa '

Hujapaona mkuu
Ndiyo ila wewe troublemaker hauwezi kumsaidia mtu buku mbona wanaume wenzenu huwa mnawasaidia ila wanawake mnataka hadi wawape ngono?

Yaani unataka mwanamke ambaye mnaenda kufanya tu just for fun hamna malengo yoyote akupe mzigo kwa buku halafu mkitoka hapo wewe unaheshimika yeye anadharaulika is that what you guys want?
 
IMG_5244.JPG


Njoo nikurudishie buku lako..
 
Hiyo hadhi ya kunigegeda mimi unayo sasa? Hebu nitake radhi bwana!
Jifanye unaringa alafu wakumwagie tindikali usoni domo likae kushoto ngozi ivutike hadi shingo ihamie kichogoni ndo ujione keki kumbe muhogo tu mkavu
 
Kama kuna mwanaume ambaye kwake buku ni kubwa, basi hastahili kuwa na mwanamke yaani tena hastahili kabisa hata kuwa na hamu ya kufanya ngono anatakiwa atafute pesa aache kuwaza ujinga.
Mimi hapa lakini ninakupenda hadi nahisi kuumwa Marrianah Mama
 
Back
Top Bottom