Nimepigwa faini sh 50,000/- hapa barrier ya usagara kwa kukojoa hovyo. Hii ni sawa au sio sawa?

Mbona risiti inasoma 8.8.22 au ulikojoa night sana? Na je kama ilikuwa zaidi ya saa6 usiku kuna ofisi inafanyakazi mida hiyo?
Hii ni hoja ya msingi, jamaa angeweza kuitumia kukataa kulipa hiyo faini; ila hawezi kuitumia sasa wakati ameshalipa.

Mtoa mada, hujaonewa, kwa kuwa unakiri kuwa umekojoa mahali pasipo sahihi - malipo hayo ya faini ni halali kisheria
 

Attachments

  • Polish_20220808_080617141.png
    Polish_20220808_080617141.png
    418.1 KB · Views: 5
Ni sawa tena ulitakiwa uchapwe na Viboko 12 Juu ya hii fine! Ungeenda kwenye Nyumba ya Jirani ukaomba kukojoa wangekukatalia?? Yes Unachafua Mazingira! Ni Sheria ipo Karibu Tanzania nzima! Moshi ata kudondosha kichungi cha Sigara maeno ya mjini ukikamatwa ni fine
Kwa sheria za osha , kwenye mkusanyiko wowote ambao una lengo la shuguli zinazoemdelea kikazi au kibiashara kunatakiwa kuwe na choo
Barrier za ukaguzi iwe ,polisi au mamlaka yoyote zinatakiwa kisheria ziwe na choo cha kuhudumia jamii iliyopo hapo.
Hatujui haki zetu ndo maana vitu vinafanyika kirahisi rahisi
Faini ipo sawa , ila Osha ilitakiwa iwapige faini hao wanao kusanya watu bila choo
 
Mimi hata siielewi hii nchi, nchi yetu ni chafu mno alafu wanawaumiza wananchi hivyo. Maeneo hayo ilibid waweke vyoo temporary vya bure. Cha ajabu utakuta vyoo vya kulipia.
 
Wasukuma mnajikojolea tu njoo arusha uone ganda la pipi tu au kichungi cha fegi unapigwa fine
 
Nilitema mate moshi naona naandikiwa faini 60000 yule jamaa nadhani atakaaa anisahau milele hao na usiku huo ningeuwa kabisa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom