FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 36,063
- 40,724
Vitu vingine vinatia aibu, maana vinareflect IQ vya yule anaevifanya, je, ndio tuseme watunga sera wa TRA wana IQ ndogo?
Kodi ya majengo kwa nyumba ya chini ni shs.10,000/= tu, lakini gharama ya pesa + muda + usumbufu + phychological stress ya kuilipa hiyo shs.10k si chini ya sh.50k; sasa je, hii ni akili au matope?
Kwa mtu ambae akili yake inafanya kazi sawa sawa lazima angetafuta njia nzuri na rahisi ya kukusanya hii kodi; mfano, kwani haiwezekani hii kodi ya majengi ikaunganishwa kwenye luku za umeme?waweke hata 0.000000000001/= shs kwa kila unit ya umeme, hivyi jinsi nyumba ilivyokubwa zaidi au ya kibishara zaidi (mfano bar/kiwanda etc.) ndio jinsi umeme utatumika kwa wingi na ndio jinsi atalipa kodi zaidi ya majengo, maana sio nyumba haishi mtu miaka bado ailipie. Na kama mtu hana umeme nyumbani kwake basi huyo ni wale ambao serikali haina haki ya kudai kwa sababu bado haijatimiza wajibu wake wa kumpelekea huduna hii muhimu, au la, ni wa hali ya chini sana na anatakiwa awe exempt na hii kodi. Kodi ni muhimu, tuwekeeni mifumo rafiki tulipe kodi.
Pia italeta ufanisi wa rasilimali watu, zike gharama za matangazo, kampeni, maafisa wa kufuatilia na wale wa kukaa kwenye zike desk watatumika mahala pengine penye uhutaji.
Kodi ya majengo kwa nyumba ya chini ni shs.10,000/= tu, lakini gharama ya pesa + muda + usumbufu + phychological stress ya kuilipa hiyo shs.10k si chini ya sh.50k; sasa je, hii ni akili au matope?
Kwa mtu ambae akili yake inafanya kazi sawa sawa lazima angetafuta njia nzuri na rahisi ya kukusanya hii kodi; mfano, kwani haiwezekani hii kodi ya majengi ikaunganishwa kwenye luku za umeme?waweke hata 0.000000000001/= shs kwa kila unit ya umeme, hivyi jinsi nyumba ilivyokubwa zaidi au ya kibishara zaidi (mfano bar/kiwanda etc.) ndio jinsi umeme utatumika kwa wingi na ndio jinsi atalipa kodi zaidi ya majengo, maana sio nyumba haishi mtu miaka bado ailipie. Na kama mtu hana umeme nyumbani kwake basi huyo ni wale ambao serikali haina haki ya kudai kwa sababu bado haijatimiza wajibu wake wa kumpelekea huduna hii muhimu, au la, ni wa hali ya chini sana na anatakiwa awe exempt na hii kodi. Kodi ni muhimu, tuwekeeni mifumo rafiki tulipe kodi.
Pia italeta ufanisi wa rasilimali watu, zike gharama za matangazo, kampeni, maafisa wa kufuatilia na wale wa kukaa kwenye zike desk watatumika mahala pengine penye uhutaji.