Kaka tuko pamoja, nimehakikisha ni full suti, diwani mbunge na rais sasa tuone kama watachakachua matokeo
Mimi nipo ktk kituo cha Mbagala kizuiani hapa. Foleni ni ndefu na wadau wanaenda kupiga kura huku tukiwa na kumbu kumbu ya swala letu la kulipukiwa mabomu kugeuzwa la kisiasa.
Nipo kwenye foleni bado natamani nipewe karatasi hata mia niwekeke tick kwa shujaa, Dr wa ukweli.
Hivi siruhusiwi kuweka X kwenye picha ya JK?
Mimi nipo ktk kituo cha Mbagala kizuiani hapa. Foleni ni ndefu na wadau wanaenda kupiga kura huku tukiwa na kumbu kumbu ya swala letu la kulipukiwa mabomu kugeuzwa la kisiasa.
Nipo kwenye foleni bado natamani nipewe karatasi hata mia niwekeke tick kwa shujaa, Dr wa ukweli.
Hivi siruhusiwi kuweka X kwenye picha ya JK?
naam hapa kilima hewa tayari tushapiga kura kwa amani na sasa nnaelekea amani kwa wazee pale barazani kupata kahawa na kutafuna kashata nikisubiri habari moja mbili hadi jioni nianze kujipanga kupokea matokeo
mji unazizima kwa ukimya watu wote kama wamepigwa na butwaa
mimi nipo ktk kituo cha mbagala kizuiani hapa. Foleni ni ndefu na wadau wanaenda kupiga kura huku tukiwa na kumbu kumbu ya swala letu la kulipukiwa mabomu kugeuzwa la kisiasa.
Nipo kwenye foleni bado natamani nipewe karatasi hata mia niwekeke tick kwa shujaa, dr wa ukweli.
hivi siruhusiwi kuweka x kwenye picha ya jk?
Nimetoka sasa hivi kupiga kura.
Kura ni siri lakini mimi nimepigia kura wagombea wa vyama vyote vitatu vikuu CHADEMA,CUF NA CCM,mpangilio nilivyotaja haufuati utaratibu wowote.
Pale kituoni watu wengi wa kata yetu nawafahamu kwamba ni CCM.Nikichanganya na mwenendo wa kampeni maeneo mengine nchini na kwenye vyombo vya habari na kwenye mitandao,dalili zote zinaonesha Jakaya Kikwete ndiye raisi anayemalizia awamu ya nne ya uongozi wa juu Tanzania.
Sasa natayarisha barua ya wazi kwa raisi huyu kutoka CCM.Nimeshaweka mezani vifaa vyote vya kuandikia isipokuwa maneno sijayapanga katika paragrafu zake.Kila nikijaribu nakuta sina maneno mengi na barua itakuwa fupi mno,haitopendeza.
Nawaomba wana JF tusaidiane vitu vya kujaza hii barua kwa Kikwete ili akiingia ikulu tu aikute barua yetu inamsubiri mezani kwake.
Rais hachaguliwi na KATA yenu, anachaguliwa na Watanzania wote!Nimetoka sasa hivi kupiga kura.
Kura ni siri lakini mimi nimepigia kura wagombea wa vyama vyote vitatu vikuu CHADEMA,CUF NA CCM,mpangilio nilivyotaja haufuati utaratibu wowote.
Pale kituoni watu wengi wa kata yetu nawafahamu kwamba ni CCM.Nikichanganya na mwenendo wa kampeni maeneo mengine nchini na kwenye vyombo vya habari na kwenye mitandao,dalili zote zinaonesha Jakaya Kikwete ndiye raisi anayemalizia awamu ya nne ya uongozi wa juu Tanzania.
Sasa natayarisha barua ya wazi kwa raisi huyu kutoka CCM.Nimeshaweka mezani vifaa vyote vya kuandikia isipokuwa maneno sijayapanga katika paragrafu zake.Kila nikijaribu nakuta sina maneno mengi na barua itakuwa fupi mno,haitopendeza.
Nawaomba wana JF tusaidiane vitu vya kujaza hii barua kwa Kikwete ili akiingia ikulu tu aikute barua yetu inamsubiri mezani kwake.
Rais hachaguliwi na KATA yenu, anachaguliwa na Watanzania wote!
Nani aliyekwambia JK anaweza kusogea IKULU, kamaatakwenda basi ni kukabidhi ofisi kwa Slaa!