cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,159
- 181,303
πππππDakika ya 40 ππππ
Ungesimamisha saa au kidole
πππππDakika ya 40 ππππ
Ungesimamisha saa au kidole
πππππDakika arobaini unandaa gemu imekua uefa hiyo Mkuu si ndondo tu hizi ambazo unakuta kibendera anashika shati na kibendera wa wa upande wa pili asipokuwepo gemu inachezwa tu refa mwenyewe unamkuta ana kadi ya njano mfukoni red hana....
πππππVijana hizo romansi zinawafelisha sana. Kilichotakiwa ndani dak 10 tangu aingie kwa vile hamkuwahi b4 angekula cha kufikia kabla yeye hajafanya mipango mingine. Tena hata kwenda chooni angeenda kujisafi vyote. Ndipo mpige stori na makaribisho ya misosi na hapo matomansi. Mnafeli sana vijana
NomaDakika 40 romance wenzangu mnawezaje mimi nikijitahidi sana ni 10
πππππ€£π€£π€£ Ielezee mahakama ya JF hatua kwa hatua kwa mgawanyo dk 40 ulizitumia Sehemu Gani na Gani.
Hii hali kuna mambo haya yazimgatie:Wakuu kwema,
Kama kichwa kinavyosema, jana nimekutwa na jambo la ajabu na kusikitisha sana. Mimi sina matatizo ya nguvu za kiume, ila siku ya jana kuna binti mmoja aliyekuwa akinizungusha sana tokea mwezi wa 6 mwaka huu, aliamua kuja kwangu na kunibless.
Alifika juzi usiku wa tarehe 18 akiwa ametokea kazini, alikuwa amechoka sana hivyo hatukufanya kitu akalala mpaka asubuhi. Sikuwa na haraka kwa kuwa nilijua siku ya kesho yake, yaani jana tarehe 19, ilikuwa ni siku yake ya off kazini hivyo angeshinda kwangu pia siku nzima na tungemaliza jambo letu.
Basi jana mnamo majira ya mchana tukaanza kufanya kilichomleta, tukafanya romance nikamchezea kama zaidi ya dakika 40 hivi nikiwa nimesimamisha vizuri kabisa. Ilipofika muda wa kufanya tendo lenyewe bwana athumani kichwa kipara ndipo aliponisaliti.
Ilisinyaa ghafla na kulala bila kuamka mpaka sasa muda huu ninavyoandika huu uzi, hata sielewi nimekutwa na nini, na mrembo ameshaondoka tangu leo alfajiri kwenda kazini kwake na jioni atarudia kwake.
Tokea leo asubuhi baada ya binti kuondoka imekuwa ikiamka kwa kuotea otea sana, yaani dakika 2 haziishi inalala tena. Wakuu mmeshakutwa hili jambo? Sijawahi kuwa na matatizo ya nguvu kabisa na huyu si mwanamke wa kwanza pia nakuwa nae.
Ukute sio 40min pengn ni zaidi ya hapoWatu wanawezaje kufanya Romance? Mbona nahisi kichefu chefu, afu Dkk 40? Si mlipeana sana mimate humo? Mmmmh
Wanafanya ExperimentsWatu wanawezaje kufanya Romance? Mbona nahisi kichefu chefu, afu Dkk 40? Si mlipeana sana mimate humo? Mmmmh
MabwakuuuWanafanya Experiments
Wanafanya Experiments
ππππUkute sio 40min pengn ni zaidi ya hapo
Angesema muda halisi mngeshtuka