Ukifanya hilo lazima lifuate lingine...hahaha! umenkumbusha mbali. Kama huwezi acha tu ndugu, utaumia tu maana ukishapita utawaza kama hio milion kasoro ina thamani sawa kwako na huo utamu. Hehehe ndo hapo majuto mjukuu.
Kwa kukusaidia tuu.Nauliiiizaaaa hhhiiiii nii haki milioni moja kasoro mimi nitaipata wapi?
[FONT=comic sans
ms]Ina maana sisi wanaume wenye kipato cha chini ndio wa
kunyanyasika siyo. Nimemtokea mdada mrembo mwenye maisha yake ya
uhakika. Nimemkomalia sound za kufa mtu.
Leo nimeonana naye alichofanya ni kunipatia invoice ya kumnunulia
matairi manne ya gari yake.
Aliniambia unanipenda, nimnunulie matairi alafu tutazungumza
Nauliiiizaaaa hhhiiiii nii haki milioni moja kasoro mimi nitaipata wapi?
Nimtukane ama!!!!!!
[/FONT]
Kuna alienunua Gari,Ina maana sisi wanaume wenye kipato cha chini ndio wa kunyanyasika siyo. Nimemtokea mdada mrembo mwenye maisha yake ya uhakika. Nimemkomalia sound za kufa mtu.
Leo nimeonana naye alichofanya ni kunipatia invoice ya kumnunulia matairi manne ya gari yake.
Aliniambia unanipenda, nimnunulie matairi alafu tutazungumza
Nauliiiizaaaa hhhiiiii nii haki milioni moja kasoro mimi nitaipata wapi?
Nimtukane ama!!!!!!
hahahaah!
hiyo ni mitego, tegua kwa kumnunulia tairi zote 4 ongeza na spea tire ya tano kesho utaambiwa power window imekufa.
Retread tyres zimejaa tele. Vivile kuna discount kibao.Kwa kukusaidia tuu.
Tairi moja la prado ukikuta duka wanalouza kwa bei nafuu sana ni sh300,000/-
Matairi manne, fanya 300,000/- X 4 = 1,200,000/-
Kwahiyo sio milioni kasoro bali ni 1.2M.
Jipige pige hata kwa kuchukua mkopo bank ili uonekane ni kidume.
Retread tyres njoo supreme tyres yamejaa tele. Unashangaa, wa wapi wewe?milioni moja kasoro, matairi manne ya prado..
Nikiwashauri muende KIMBOKA Buguruni mnaniona hamnazo, kule ukiwa na buku tano tu unakula mzigo wa totoz mbichi kabisaa, hawaulizi jina lako wala kutaka kujua namba yako ya simu na unapoishi....
ha haaaa, sasa watoto wa mujini wanaweza tumia tairi za kichina?za kichina roadshine za prado 240,000/-...........angepewa invoice ya bridgeston,dunlop,pirelli tusingemuona hapa angekuwa kashapigwa massive heart attack........