Nimependa msimamo wa Dr Slaa

Nimependa msimamo wa Dr Slaa

Huko ni kutapatapa na kutokuwa msimamo(opportunism).chadema inajitofautisha na ccm katika maadili na ikulu ni lengo lkn si kwa gharama yoyote hasa ufisadi. Hata hivyo lowasa ana hakika gani kushinda kama siyo kuja kutuchafua?
 
Huu ndiyo mdimamo wake Dr.Slaa.
 

Attachments

  • 1438573286647.jpg
    1438573286647.jpg
    30.2 KB · Views: 168
Back
Top Bottom