ng'adi lawi
JF-Expert Member
- Sep 27, 2014
- 2,956
- 1,115
Kama kuna kosa CHADEMA watalijutia ni kumfanya Lowassa mgombea wao wa urais. Maadili tuliyosimamia tumeyatupa chooni na kuwakatisha tamaa wanachama na wadau wengi mimi nikiwemo.
Chama sasa hakina tofauti na CCM kwa uchafu na sasa imedhihirika kuwa ni Dr Slaa tu ndiye aliyeamini katika uadilifu ndani ya chama.
Viongozi wengine kumbe wako kimslahi zaidi na hawakumbuki wahanga waliouawa na kuumizwa na polisi kwa kuunga mkono CHADEMA wakiamini ni mkombozi wao. Sasa kimepokea wale mafisadi papa ambao hata chama chao hakiwataki! Tumekata tamaa.
Pole Dr Slaa lakini Mungu yuko na atatunusuru.
Chama sasa hakina tofauti na CCM kwa uchafu na sasa imedhihirika kuwa ni Dr Slaa tu ndiye aliyeamini katika uadilifu ndani ya chama.
Viongozi wengine kumbe wako kimslahi zaidi na hawakumbuki wahanga waliouawa na kuumizwa na polisi kwa kuunga mkono CHADEMA wakiamini ni mkombozi wao. Sasa kimepokea wale mafisadi papa ambao hata chama chao hakiwataki! Tumekata tamaa.
Pole Dr Slaa lakini Mungu yuko na atatunusuru.