Nimependa changudoa

bid2015

JF-Expert Member
Joined
Sep 6, 2011
Posts
306
Reaction score
59
Mimi ni kijana mwenye miaka 26 nina shahada ya chuo kikuu na ninafanya kazi katika shirika moja la kimataifa.

Kiukweli napenda sana wanawake hasa wazuri yani warembo.Nilipimaliza chuo nilifanya kazi katika bank moja Dar baada ya kuchoshwa na kazi za bank nilipata kazi katika shirika hili nilipo sasa huku Kanda ya ziwa.

Kwakuwa huku nilikuwa ugenini siku moja nilienda club hapa Mwanza katika cheza cheza nikamuona dada mmoja kwakweli ukimuona alivyopendeza utatamani umuweke ndani lakini ni changudoa.

Nikachukua namba kwa usiku huo mimi utaratibu wangu silalagi na mwanamke wa kuokota nikiwa nimelewa.Kesho yake nilimtafuta nikiwa sijanywa ndo nikalala nae baada ya hapo nikawa kila nikipata chance namuita taratibu ninempenda mpaka nataka kumuoa. Sasa sijui napotea.

Naomba ushauri mwenzenu!
 
Kaka pole. Kwa namna unavyomsifia huyu binti, anaonekana ni mrembo sana halafu changudoa. Sasaaa, alivyo mrembo hivyoo ni wanaume wangapi wamewahi kulala nae kabla ya kuanza hio biashara? na baada ya kuanza hio biashara ni wangapi? wangapi wazima na wangapi wamegonjeka? we ni wa ngapi? je bado anaendelea na biashara yake?

Je ukiitafakari kesho, unaiona future yako ambayo umekua ukiiota? unaona umri uliotamani kuuishi mbele yako kwa hali hiyo, Mkuu mimi naona kiza kinene mbeleni, tafadhali tumia ubongo wako vizuri kuushinda huo mwili usiokubaligi kushindwa kirahisi rahisi, hadi utie juhudi sana ndio utaushinda.

Mungu akutie nguvu unapofanya maamuzi, you have a great future ahead of you brother, think clearly. ''Mtu hujaribiwa kwa tamaa zake mwenyewe, nayo tamaa ikikomaa huzaa dhambi, nayo dhambi ikikomaa huzaa mauti''
 

Bhana, sikiliza moyo na hisia zako!
Jiulize wewe umesha du mara ngapi na wanawake wangapi? Je unadhani ni sahihi uhukumiwe kwa your past experience?
Umeshajaribu kumdodosa nini kilichomfanya awe changudoa? Umejua msimamo wake juu ya uwezekano wa kuacha hiyo biashara ya kujiuza?
Ushauri
usifanye haraka, endelea kumchunguza, mwende kupima VVU, Tumieni kifudusi(Condom) kila mnapongonoka,
 
Dah kaka umeniogopesha bado abauza. Mwanzo nilipotezana nae nikakutana nae anajiuza siku ya fiesta dar nikaendelea kula
 
the mistake was kuchukuwa namba....changudoa niwakumega na kuacha usichukue namba maana ukimlamba zaidi ya mara moja unajenga kuzoeana.
anyways kwa sasa mie naona wewe ufute hiyo namba alafu ukiwa na hamu ya kugegeda demu tafuta malaya mwengine.
 
Huwa nampimisha kila nikikuyana nae. Na juzi nimekutana nae fiesta akanirubuni japo nilimpeleka kumpimisha akawa safi. Ila biashara anaendelea
 
the mistake was kuchukuwa namba....changudoa niwakumega na kuacha usichukue namba maana ukimlamba zaidi ya mara moja unajenga kuzoeana.
anyways kwa sasa mie naona wewe ufute hiyo namba alafu ukiwa na hamu ya kugegeda demu tafuta malaya mwengine.
Huyu ni mrembo coz alishiriki mashindano ya umiss akashika namba za juu
 
una miaka mingapi Tized? manake daaaaah!
 
Last edited by a moderator:
jamani naombeni mm nilisemee hili kwa mitazamo tofauti na hapa nakupa wewe mtoa mada nafasi ya kuchagua kwa makini.

changudoa kupendwa na kufanywa mpenzi hadi mke si kitu kibaya hata kidogo ila tu itategemea utayari wa mdada na wewe mwenyewe. iwapo binti atakubali kuachana na jkazi hiyo, na kuambatana na mumewe na kuwa mwili mmoja basi huyu CD can make a material wife.

on the ither hand ikiwa kwamba huyu CD akakubali kuolewa ila moyo wake usiambatane na mumewe basi huyu hafai kuwa material wife na kumuoa ni sawa na kujitwisha gunia la misumari ama kiroba cha mavai. however kama binti ama huyu Cd atakataa kabisa kuoleewa ama kuwa na mahusiano ya kimapenzi basi ni bora zaid kuheshimu mtazamo wake huu.

kiukweli sababu za mtu kuwa changundoa ni mtambuka na wapo wanaoafanya kwa kupenda na wapo wanaofanya kwasababu ya stuataion tu. tusikhukumu kwamba hafai kuwa mke ama tusimtetee kwamba anaafaa kuwa mke pasi kumpa nafasi ya kumchunguza na kumsikiliza binti husika.

jaribu wewe mtoa mada kuongea li ujue kwann anafanya kazi hiyo na je alishawishia na kitu gani na kama yuko tayari kuwa na mahusiano ya kimapenzi na kuacha biashara hiyo. kamwe usi du bila kondom wala usimwonyeshe hisia za wazi pasi kumchunguza sana sana.
 
Kijana bado huna uzoefu wa mapenzi, changudoa si mwanamke wa kuaminika, ila nashukuru Kongosho kakuchorea rula sana.
 
Last edited by a moderator:
Amesema nimnunulie gari na kunfungulia duka la nguo atatulia. My take vyote hvo viko ndani ya uwezo wangu
 
Kijana bado huna uzoefu wa mapenzi, changudoa si mwanamke wa kuaminika, ila nashukuru Kongosho kakuchorea rula sana.
Kwani ili uwe mzoefu inatakiwa uweje. Maana kama ni wanawake nishakuwa nao mara nyingi na wengi sana
 
Last edited by a moderator:
Mkuu moto2012, Tabia ya mtu kuibadili si kitu rahisi, sana sana Mungu akuokoe, au ugundue mwenyewe kuwa unachofanya sicho, urekebike. Pia kukosea sidhani kama kuna kupa go ahead ya kuendelea kukosea kitu kile kile japo umeshaanza huhisi kuna hatari mbele japo hujui pengine hiyo hatari itatokea tokeaje. Akili ya kuambiwa yafaa uchanganye na ya kwako. Wakuu walisema, tujitahidi sana kuepuka scenarios ambazo tutajitetea kwa neno ''nikajikuta'' ukajikuta??? where were you??? wake up now brother. its never too late.

 
we piga tu usepe, utaweza kumtimizia mahitaj yake ya unyumba asitoke nje?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…