Mimi ni kijana mwenye miaka 26 nina shahada ya chuo kikuu na ninafanya kazi katika shirika moja la kimataifa.
Kiukweli napenda sana wanawake hasa wazuri yani warembo.Nilipimaliza chuo nilifanya kazi katika bank moja Dar baada ya kuchoshwa na kazi za bank nilipata kazi katika shirika hili nilipo sasa huku Kanda ya ziwa.
Kwakuwa huku nilikuwa ugenini siku moja nilienda club hapa Mwanza katika cheza cheza nikamuona dada mmoja kwakweli ukimuona alivyopendeza utatamani umuweke ndani lakini ni changudoa.
Nikachukua namba kwa usiku huo mimi utaratibu wangu silalagi na mwanamke wa kuokota nikiwa nimelewa.Kesho yake nilimtafuta nikiwa sijanywa ndo nikalala nae baada ya hapo nikawa kila nikipata chance namuita taratibu ninempenda mpaka nataka kumuoa. Sasa sijui napotea.
Naomba ushauri mwenzenu!
Kiukweli napenda sana wanawake hasa wazuri yani warembo.Nilipimaliza chuo nilifanya kazi katika bank moja Dar baada ya kuchoshwa na kazi za bank nilipata kazi katika shirika hili nilipo sasa huku Kanda ya ziwa.
Kwakuwa huku nilikuwa ugenini siku moja nilienda club hapa Mwanza katika cheza cheza nikamuona dada mmoja kwakweli ukimuona alivyopendeza utatamani umuweke ndani lakini ni changudoa.
Nikachukua namba kwa usiku huo mimi utaratibu wangu silalagi na mwanamke wa kuokota nikiwa nimelewa.Kesho yake nilimtafuta nikiwa sijanywa ndo nikalala nae baada ya hapo nikawa kila nikipata chance namuita taratibu ninempenda mpaka nataka kumuoa. Sasa sijui napotea.
Naomba ushauri mwenzenu!