Nimepata visa ya kazi Europe

Nimepata visa ya kazi Europe

Sema nini weka mchongo wazi ili kila mtu mwenye shida ya kulipuka ajilipue otherwise hii post yako itakuwa haina tija hapa, huo ndio utofauti wa mbongo na mkenya au mpopo maana wenzetu wanalimwaga tu hadi youtube ndiomaana wanasafiri sana. Mbongo kasaidiwa lkn kutoa mchongo ni mchoyo sana.
Acha chuki unataka kujua nini?
Kuna sehem nimekataa kuweka details?
 
ENDELEA KUJISHIKIZA, İLA POLAND IWE NI TRANSIT TUU, HAO NI MASKINI SANA, kusanya hela, ikisha kuzupata, vuka kuingia UK kwa kuoitia panya road ndio wenzako wanavyofanya hivyo.
Hapo utadima sana kama imekwenda kuchuma..
 
Poland of all countries, wewe unapelekwa mashambani, au Ukuraini kutoa cheap labour, hapo kuna wahamiaji wengi kutoka Ukraini hamna kazi za maana.
Uk napo ni miyayusho tu sikuizi alafu hawapo shenghen so hawezi kwenda lakini anaweza kwenda nchi nzuri kama germany na ni karibu tena bila njia za panya maana si anaviza ya kazi
 
Ushauri wangu nenda nchi nyingine hapo poland pita tu hakuna maisha hapo, advantage unayo hiyo viza utasafiri shenghen countries bila shida
 
Mkuu, Kwanza hongera, Ni hatua nzuri, huwezi kujua ya mbeleni....tulia, usiwe na Mambo mengi, just focus.

Mungu awe nawe
kwema wakuu, mimi sio mwandishi mzuri, naomba huu uzi uwe kwenye stail ya maswali..ili niandike kile mnachohitaji tu.

Niulize na nitajibu bila kuficha kila kitu, lengo ni kupeana moyo.

Hapa naandika leo ni siku ya tatu niko Europe,
So kila hatua nitawajuza

Hizo picha niko ofisi ya kazi na wa Nepal, wamechukua karatasi za maelezo kama unavoziona na passport, shida hao wa Nepal wana visa ya nchi tofauti na hii tuliyopo so mpaka jamaa waka-comfirm kama wanaweza kufanya kazi hapa..wametuweka sn
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom