Nimepata visa ya kazi Europe

Nimepata visa ya kazi Europe

Upo nchi gani Europe na kazi gani imekupeleka huko..
Je gharama za nauli na pocket money ni kama tsh. Ngapi.
Ulipataje kazi hiyo na mchakato mzima umetumia muda gani?
Mchakato umechukua zaidi ya miezi 6,
Gharama za nauli nimelipa dolla 600,
Pocket money laki nane..
rafiki alini connect na agent.
 
Sema nini weka mchongo wazi ili kila mtu mwenye shida ya kulipuka ajilipue otherwise hii post yako itakuwa haina tija hapa, huo ndio utofauti wa mbongo na mkenya au mpopo maana wenzetu wanalimwaga tu hadi youtube ndiomaana wanasafiri sana. Mbongo kasaidiwa lkn kutoa mchongo ni mchoyo sana.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom