Nimepata visa ya kazi Europe

Nimepata visa ya kazi Europe

kwema wakuu, mimi sio mwandishi mzuri, naomba huu uzi uwe kwenye stail ya maswali..ili niandike kile mnachohitaji tu.

Niulize na nitajibu bila kuficha kila kitu, lengo ni kupeana moyo.

Hapa naandika leo ni siku ya tatu niko Europe,
So kila hatua nitawajuza

Hizo picha niko ofisi ya kazi na wa Nepal, wamechukua karatasi za maelezo kama unavoziona na passport, shida hao wa Nepal wana visa ya nchi tofauti na hii tuliyopo so mpaka jamaa waka-comfirm kama wanaweza kufanya kazi hapa..wametuweka sn
šŸ‘šŸ‘šŸ‘
 
du cjaelewa content ya uzi wako.
unataka msaada au sisi tujue uko pande izo.

ebu toa lengo la uzi wako mkuu
 
Angalizo: japo yato ni mapambano ila kuwa makakini sana huko Ulaya mashariki, usipewe kazi yeyote inayohusisha Ukraine na Russia.
Kuwa makini pia nawapolish wasikuhusishe na issue yeyote ya jeshini maana wako na tension ya Russia wanatafuta sana watu kuongeza number ya askari wao.

Wanepalize wengi wamejikuta wameangukia infantry bila intension yao wamedanganywa na maagent wamejikuta front line with no past experience, wengi wamenasa wanaomba msaada wa kurudi kwao wale majeruhi ndio imekuwa afadhali yao tumerudisha vilema.

Karibu sana Donbass na Kherson usiangukie tu kwenye mikono ya mazayuni wa kiev, SU-35 na Kamikaze ziko kazini na tunasafisha stock ya N/K pia, the sky is clear now all Patriot batteries jammed.
 
Angalizo: japo yato ni mapambano ila kuwa makakini sana huko Ulaya mashariki, usipewe kazi yeyote inayohusisha Ukraine na Russia.
Kuwa makini pia nawapolish wasikuhusishe na issue yeyote ya jeshini maana wako na tension ya Russia wanatafuta sana watu kuongeza number ya askari wao.

Wanepalize wengi wamejikuta wameangukia infantry bila intension yao wamedanganywa na maagent wamejikuta front line with no past experience, wengi wamenasa wanaomba msaada wa kurudi kwao wale majeruhi ndio imekuwa afadhali yao tumerudisha vilema.

Karibu sana Donbass na Kherson usiangukie tu kwenye mikono ya mazayuni wa kiev, SU-35 na Kamikaze ziko kazini na tunasafisha stock ya N/K pia, the sky is clear now all Patriot batteries jammed.
Kuna wanangu watatu wapo huko poland Wanapiga mishe.
 
Ushau
Angalizo: japo yato ni mapambano ila kuwa makakini sana huko Ulaya mashariki, usipewe kazi yeyote inayohusisha Ukraine na Russia.
Kuwa makini pia nawapolish wasikuhusishe na issue yeyote ya jeshini maana wako na tension ya Russia wanatafuta sana watu kuongeza number ya askari wao.

Wanepalize wengi wamejikuta wameangukia infantry bila intension yao wamedanganywa na maagent wamejikuta front line with no past experience, wengi wamenasa wanaomba msaada wa kurudi kwao wale majeruhi ndio imekuwa afadhali yao tumerudisha vilema.

Karibu sana Donbass na Kherson usiangukie tu kwenye mikono ya mazayuni wa kiev, SU-35 na Kamikaze ziko kazini na tunasafisha stock ya N/K pia, the sky is clear now all Patriot batteries jamme

Ushauri mzuri sana šŸ‘šŸ»
 
Nitawa update,
Wapuuzi hapa ni wengi wanaongea mambo mengi wasiyoyajua..
Europe ni sehem nzuri kwa wasio na fani..
Kama una michongo yako inakupa kuanzia 1M komaa bongo,
Kuna shida kubwa watanzania tunanyimana fursa..huku wamejaa wakenya,wanyarwanda na wazimbabwe.
So far kampuni ya watu 1000+ namkuta mtanzania mmoja.
Kama una plan ya kuja Poland jifunze polish hata basic tu ni dili utanishukuru baadae..

Welders
Wapishi wa mikate na hot dishes,polish cuisine
Mafundi wa tailizi
Seremala huku ni dili.

Niacheni nitulie nije na research kamili ya kila kitu..hata karatasi pia nimepata fununua sio gharama kihivyo sema ukiwa bongo lazima wakulize...

Naahidi kama nitaweza kuyavumilia mazingira nitarudi hapa kutoa karatasi kwa watu wawili wenye passport wapambanie visa.

Nitatoa bure kwa sharti na wao wakifanikiwa wawape wengine wawili kwa kila mmoja bure, means watakua wanne wa ziada na wanne kama watawape wanne wengine bure watakua ni nane..tutaenda kwa formula hio hio..

Tenda wema na wema utakurudia wewe na ndugu zako.
View attachment 3079682
 
Mkuu habar samahani kama hutojali naomba nielekeze ulitumia agent gani kama ukinipa no zake utakua umensaidia sana na bajet mpaka unafika poland ilikua shngapi.
Kindly wait for ur reply
Passport nnayo na bajet nna dola 2000
 
Mkuu habar samahani kama hutojali naomba nielekeze ulitumia agent gani kama ukinipa no zake utakua umensaidia sana na bajet mpaka unafika poland ilikua shngapi.
Kindly wait for ur reply
Passport nnayo na bajet nna dola 2000
Hapa kwenye Agent kuna changamoto, Jamaa atengenezi mkataba wa kazi, anatengeneza working permit peke yake..sasa kuna namna bila mkataba kuna mambo kama TAESA utakwama, Airport napo miyeyusho ukiwa unatoka, Pia polish Embassy wanataka na contract. Mimi nimepita Ki Mungu Mungu mkuu..kama unataka fresh nakupatia namba..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom